mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,081
Chuo ni mhimu sana, si watu wote wamepita vyuo vya kawaida, viongozi wanahitajika ni wengi kwa ngazi mbalimbali, kila mtu kujibunia style ya uongozi si approach nzuri, ni kama inhouse traing ya kampuni japo kila mtu ni proffesional. Chadema then tekelezeni as soon as possible.