Jengo la taasisi gani hilo?

Jengo la taasisi gani hilo?

mi nacheki tu halafu baada najitokeza kumaliza kazi
 
Duh, zuri sana kumbe. Kama JK aliweza kutufikisha hapo basi naamini JPM atajenga zuri kuzidi hili.
 
Mkuu Kadagala 1
Umetisha Sana Kwa Comment Matata
 
Swali umeuliza kwa lengo gani
kujua
au kupambia
Mie naishi Iringa siko Dar .... picha ya hilo jengo ilirushwa ktk post flani humu humu Jf nikai-save .... bahati mbaya sikuwa na muda wa kutosha kuuliza kwa wakati huo .... but when I got the time I didn't remember the forum.

Nimeuliza ili nifahamu na nadhani ni haki yangu kufahamu by the way this is a free forum
 
Back
Top Bottom