Jengo la stand ya mabus Nyegezi Mwanza kuezekwa kwa mabati meupe

nizakale

JF-Expert Member
Oct 23, 2019
4,029
2,902
Inasikitisha lakini ndio hivyo tena kwamba jengo la serikali linaezekwa kwa mabati meupe ! Hii ni fedheha kwa jiji La Mwanza ambao ndio wenye mradi huu. Tunajua kwamba majengo ya serikali iwe ni shule, vituo vya afya au hospitali huezekwa kwa mabati ya rangi. Leo hii jengo la stand limeezekwa kwa mabati meupe hadi kuyatazama tu yanaumiza macho. Viongozi wa mkoa kuanzia mkuu wa mkoa, mbunge wa Nyamagana, Mkurugenzi wa Jiji wako kimya kabisa wakati madudu haya yakifanyika. Tunaomba waziri anayehusika na TAMISENI atembelee mradi huu ili aone kinachoendelea hapa.
 
Inasikitisha lakini ndio hivyo tena kwamba jengo la serikali linaezekwa kwa mabati meupe ! Hii ni fedheha kwa jiji La Mwanza ambao ndio wenye mradi huu. Tunajua kwamba majengo ya serikali iwe ni shule, vituo vya afya au hospitali huezekwa kwa mabati ya rangi. Leo hii jengo la stand limeezekwa kwa mabati meupe hadi kuyatazama tu yanaumiza macho. Viongozi wa mkoa kuanzia mkuu wa mkoa, mbunge wa Nyamagana, Mkurugenzi wa Jiji wako kimya kabisa wakati madudu haya yakifanyika. Tunaomba waziri anayehusika na TAMISENI atembelee mradi huu ili aone kinachoendelea hapa.
Tupe picha
 
Inasikitisha lakini ndio hivyo tena kwamba jengo la serikali linaezekwa kwa mabati meupe ! Hii ni fedheha kwa jiji La Mwanza ambao ndio wenye mradi huu. Tunajua kwamba majengo ya serikali iwe ni shule, vituo vya afya au hospitali huezekwa kwa mabati ya rangi. Leo hii jengo la stand limeezekwa kwa mabati meupe hadi kuyatazama tu yanaumiza macho. Viongozi wa mkoa kuanzia mkuu wa mkoa, mbunge wa Nyamagana, Mkurugenzi wa Jiji wako kimya kabisa wakati madudu haya yakifanyika. Tunaomba waziri anayehusika na TAMISENI atembelee mradi huu ili aone kinachoendelea hapa.
Kwani rangi nyeupe siyo Rangi?.
 
Huu mradi ulikuwa wa kimkakati JPM aliusimamisha baada ya kujua Mohd mkandarasi wa mradi ni jamaa yake na mil 7 kwa dakika akapiga chini na kuanza upembuzi upya sambamba na mengineyo coz ex DED Kibamba alikuwa na majambazi wenzie Waka inflate 4Bil
 
Inasikitisha lakini ndio hivyo tena kwamba jengo la serikali linaezekwa kwa mabati meupe ! Hii ni fedheha kwa jiji La Mwanza ambao ndio wenye mradi huu. Tunajua kwamba majengo ya serikali iwe ni shule, vituo vya afya au hospitali huezekwa kwa mabati ya rangi. Leo hii jengo la stand limeezekwa kwa mabati meupe hadi kuyatazama tu yanaumiza macho. Viongozi wa mkoa kuanzia mkuu wa mkoa, mbunge wa Nyamagana, Mkurugenzi wa Jiji wako kimya kabisa wakati madudu haya yakifanyika. Tunaomba waziri anayehusika na TAMISENI atembelee mradi huu ili aone kinachoendelea hapa.

Yana gauge gani mkuu?
 
Inasikitisha lakini ndio hivyo tena kwamba jengo la serikali linaezekwa kwa mabati meupe ! Hii ni fedheha kwa jiji La Mwanza ambao ndio wenye mradi huu. Tunajua kwamba majengo ya serikali iwe ni shule, vituo vya afya au hospitali huezekwa kwa mabati ya rangi. Leo hii jengo la stand limeezekwa kwa mabati meupe hadi kuyatazama tu yanaumiza macho. Viongozi wa mkoa kuanzia mkuu wa mkoa, mbunge wa Nyamagana, Mkurugenzi wa Jiji wako kimya kabisa wakati madudu haya yakifanyika. Tunaomba waziri anayehusika na TAMISENI atembelee mradi huu ili aone kinachoendelea hapa.
Picha mkuu
 
Back
Top Bottom