Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
Habari wakuu leo nina tafakari kidogo nimeambiwa jengo linalojengwa opposite na manispaa ya moshi ni la nssf na linaenda ghorofa kumi na ni commercial complex,nimeliona lakini najiuliza litalipa na kama litalipa kwa kiasi gani?kama majengo tu ya kawaida ni vigumu kufanya renovation je litalipa kiasi cha kumudu periodic maintenance au its just a waste of money,embu kama kuna mwenye any economic survey au business plan ya jinsi itakavyolipa maana i dont see any business worthy that investment,but i stand to be corrected and educated,