Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 919
hizo presidential suites zinazoongezwa nadhani zimetarget wageni mashuhuri hasa wanadiplomasia na wawekezaji (wanunuzi wa nchi yetu) wanaotembelea TZ mara kwa mara na amabao huongezeka mwaka hadi mwaka. najisikia dalili za kusahau kabisa mpango wa serikali kuhamia dodoma!
OMG!
OMG!