Jengo la International House lawakamoto!!

Jengo la International House lawakamoto!!

KakaKiiza

Platinum Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,945
Reaction score
9,458
Jengo la International House limewaka moto ghorofa ya Pili Katika office za Standard Chartered Bank
=========================UPDATE==========================
Moto umetokea katika Office za Knight Frank na ulisababishwa na mfanyakazi aliyechoma karatasi na moto kumzidia!Hivyo siyo Ghorofa Pili Katika office za Standard Chartered Bank Kama ilivyo reportiwa mwanzo kwani nimetoa uzi huu nikiwa kwenye assembly point kabla ya kujua moto ulikuwa floor gani!!
 
Vp hali ikoje eneo la tukio labda kuna madhara yeyote yaliyosababishwa na moto huo?
 
Na lile eneo lilivyo dogo, sijui hata kama wana emergency exit wale...
 
Jengo la International House limewaka moto ghorofa ya Pili Katika office za Standard Chartered Bank.

Duh benki hii si ndio imetumika kulipia IPTL?

Furthermore, the court took judicial notice of agreement signed by VIP and PAP, for which the former sold its 30 per cent shares in IPTL and conveyed to the latter its rights, title and interests connected to the shares, including monies in the Tegeta escrow account at Bank of Tanzania (BoT).

The International Independent Consultant with VIP, Mr James Rugemalira, recently announced his company's decision to withdraw the petition and resolved to sell its shares to PAP after noticing his co-shareholder, Mechmar Corporation (Malaysia) Berhard, did so since 2010.
 
Kaka sisi wapenda picha bado hujatutendea haki, umeweka picha lakini haina mashiko kusupport habari. Anyway thanx for information
 
Jengo la International House limewaka moto ghorofa ya Pili Katika office za Standard Chartered Bank.
attachment.php

any loss reported??
 
Back
Top Bottom