Hakuna lililowezekana Tanzania!! Ndiyo maana wawekezaji fake wameshatugundua. Wanakuja na mikataba tata, wakijua wakiyumbisha lugha kidogo chali!!! Wachina usiombe, watatuua.
Hivi mwenye jengo sitashangaa kuwa ni msomali!!!! Siku yale maghorofa ya Kariakoo yataanza kudondoka moja baada ya jingine itakuwa kizaaza.