Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,512
- 860,555
- Thread starter
- #41
Fundi Mchundo let's be true n realistic kwenye hili... Hivi ni kweli kabisa waliolalamika wote ni watakatifu na hawwtendi dhambi na kwamba wanaipenda sana imani yao na kufuata misingi na kanuni zake zote?Hapa suala sio jeneza peke yake kama unavyotaka tuamini. Kilicho wakera watu ni ile kugeuza suala zima kuwa la kidini kwa kuwa na mtu aliyevaq kama padri hasa ukizingatia kuwa mhusika ni muislamu. Sidhani kama watu wangelalamika kiasi hiki kama angetumiwa sanda na mkeka au jeneza kama ishara ya maziko.
Shabiki akifanya kituko inaeleweka. Lakini hatutegemei vituko kama hivyo vifanywe na mtu aliyekuwa katika formal programme. Matusi ya nguoni ni sehemu za lugha za mashabiki lakini hatutegemei lugha hizo zitumike na wageni maalum wa klabu.
Amandla...
Sent using Jamii Forums mobile app