Hongera Generali Ulimwengu. Kwa uzoefu wake wa Siasa za nchi hizo, na ukizingania amekuwa ndani ya siasa hizo kwa miongo takribani 4 hivi, anajua kabisa nini kinaenda kutokea soon.Akihojiwa na kipindi cha BBC kinachorushwa na television ya star TV tarehe 7 mwezi huu kuhusu mapinduzi ya Guinea, Jenerali Ulimwengu amesema yeye haoni ajabu Kwa yale yaliyotokea Guinea.
Na akatabiri pia kuwa hali hiyo ya kimapinduzi ya kijeshi itafika Kwa Kwa haraka sana ktk nchi zote zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara.
Alipoulizwa kwanini anawaza hivyo alisema kuwa kilichokuwa kinafanywa na Alpha Conde ya ukandamizaji, dhurumati, kutokujali demokrasia, na uvunjifu wa haki za binadamu ,vitendo hivyo viovu vinafanywa pia na baadhi ya Serikali zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara na nchi zetu za Afrika Mashariki.
Jenerali aliendelea kushangaa kuona AU na ECOWAS wakilaani mapinduzi hayo huku wakiwa walishindwa kukemea matendo mabaya ya Rais Conde.
Alisema hali hiyo ya kimapinduzi ya kijeshi hayana muda mrefu itafika ktk nchi zetu wakati wowote kuanzia sasa.
Jenerali Ulimwengu ambae kwasasa ni mtu mzima na mwenye busara ni mtu asiyependa unafiki na hupenda kusema ukweli na maneno yake mara nyingi hutimia kama anavyotabiri.
Kuna mambo mawili Jumuia iliyostaarabika haiwezi kuvumilia, inatakiwa kuwa na ZERO TOLERANCE: ugaidi na mapinduzi ya kijeshi. Ukiona mtu anatoa lisingizio, chochote kile, ukimchimba utakuta ana lake jambo ukilitafuta utalipata tu. It is conclusive evidence we have lost this person.Akihojiwa na kipindi cha BBC kinachorushwa na television ya star TV tarehe 7 mwezi huu kuhusu mapinduzi ya Guinea, Jenerali Ulimwengu amesema yeye haoni ajabu Kwa yale yaliyotokea Guinea...
Tusiogope kivuli cha ukweli....ndio calc za siasa zilivyo....utabiti ni sawaMzee aache kututisha, wao wamekula maisha kukiwa hamna vita kipindi chao sasa iweje leo atutabirie dhiki?
Baada ya mapinduzi,maisha ya wa Guinea yameshakuwa bora au wanashangilia upepo huku akina Bounay ndio wakibadili kula jikoni? 😂😄😄😄Akihojiwa na kipindi cha BBC kinachorushwa na television ya star TV tarehe 7 mwezi huu kuhusu mapinduzi ya Guinea, Jenerali Ulimwengu amesema yeye haoni ajabu Kwa yale yaliyotokea Guinea...
Unfortunately zitaishia kuwa wishful thinking tuuSiku hizi amechukua nafasi ya shehe yahaya?
Nchi nyingi Sana zimepindua lakini hakuna cha maana kimefangika ni kubadili walaji jikoni.Mapinduzi bado sio njia salama
Itakuwa vzr,tuyatoe haya majitu serikalini,tuweke damu mpya,Akihojiwa na kipindi cha BBC kinachorushwa na television ya star TV tarehe 7 mwezi huu kuhusu mapinduzi ya Guinea, Jenerali Ulimwengu amesema yeye haoni ajabu Kwa yale yaliyotokea Guinea...
Anawahurumia kwakuwa tumefika ukingoni, bado tu kuporomokea shimoni.Mzee aache kututisha, wao wamekula maisha kukiwa hamna vita kipindi chao sasa iweje leo atutabirie dhiki?
Alikuwa mumeo?Siku hizi amechukua nafasi ya shehe yahaya?
China na Russia hakuna mapinduzi kwani haki za binadamu ni kwenye karatasi tu.Akihojiwa na kipindi cha BBC kinachorushwa na television ya star TV tarehe 7 mwezi huu kuhusu mapinduzi ya Guinea, Jenerali Ulimwengu amesema yeye haoni ajabu Kwa yale yaliyotokea Guinea...
Mm bwana Niko pamoja Na wewe kwakweli kwanguvu zetu tumeshindwa kuondoa udharimu, lbs wao wanaweza saidia.Hongera Generali Ulimwengu. Kwa uzoefu wake wa Siasa za nchi hizo, na ukizingania amekuwa ndani ya siasa hizo kwa miongo takribani 4 hivi, anajua kabisa nini kinaenda kutokea soon...
KumbeMapinduzi ni mambo ya kizamani!
Mwisho wa kunukuu.Alipoulizwa kwanini anawaza hivyo alisema kuwa kilichokuwa kinafanywa na Alpha Conde ya ukandamizaji, dhurumati, kutokujali demokrasia, na uvunjifu wa haki za binadamu ,vitendo hivyo viovu vinafanywa pia na baadhi ya Serikali zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara na nchi zetu za Afrika Mashariki.
Kama wanapewa mgao hutokaa usikie hadi Yesu anarudi.Lkn kama serikali iliyopo madarakani inatumia wanajeshi kutesa watu, kupiga watu Na kuumiza watu, ajabu inakua wapi jeshi hilo hilo likiwageuka wao?
😅😅😅Mbona ccm bado ni chama cha mapinduzi
A.U ni uchuro tu hapa Africa.Anachoongea Jenerali ni sahihi kwa mujibu wa historical calculations wala sio utabiri.
Hauhitaji akili kubwa kuona yajayo East Africa ni km ya Guinea ndio maana Museveni alilaani sana hayo mapinduzi akijua yeye ni next.
A.U. nayo inatakiwa kuondolewa kimapinduzi tu haina maana tena,inalinda maslahi ya madikteta.