GE2025 Jenerali Ulimwengu aonya vikali mauaji ya raia wema wanaopambania nchi yao

GE2025 Jenerali Ulimwengu aonya vikali mauaji ya raia wema wanaopambania nchi yao

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Nyasi-Man

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2023
Posts
928
Reaction score
2,053
Namnukuu "Hakuna kabisa msamaha au sababu zinazoweza kuhalalisha kile kinachotokea Tanzania sasa hivi — uuaji wa watu wetu; kabisa hakuna! Acha wazimu huu wa kudhani kwamba watu wetu ni watumwa wenu na hawawezi kujiondoa chini ya mnyororo wa utumwa wenu. Ndiyo, wanaweza na watafanya hivyo, na itatokea kwa wakati wake ambao unaweza kuwa sasa.

IMG_8675.jpeg
 
Namnukuu "Hakuna kabisa msamaha au sababu zinazoweza kuhalalisha kile kinachotokea Tanzania sasa hivi — uuaji wa watu wetu; kabisa hakuna! Acha wazimu huu wa kudhani kwamba watu wetu ni watumwa wenu na hawawezi kujiondoa chini ya mnyororo wa utumwa wenu. Ndiyo, wanaweza na watafanya hivyo, na itatokea kwa wakati wake ambao unaweza kuwa sasa.
View attachment 3496292
Sa100 must go. Wauaji hawajui kiswahili wala badge zao siyo za Tanzania. Anastahili kuhukumiwa na mahakama ya ICC
 
Inaonekana walikuja wengi ,na wanatunguliwa kinyaama , hongera kubwa kwa vijana wakitanzania ,kunavijana nimajasiri nihatari wazee
Bro wanawatungua na risasi? Vijana bunduki wametoa wapi?
 
Namnukuu "Hakuna kabisa msamaha au sababu zinazoweza kuhalalisha kile kinachotokea Tanzania sasa hivi — uuaji wa watu wetu; kabisa hakuna! Acha wazimu huu wa kudhani kwamba watu wetu ni watumwa wenu na hawawezi kujiondoa chini ya mnyororo wa utumwa wenu. Ndiyo, wanaweza na watafanya hivyo, na itatokea kwa wakati wake ambao unaweza kuwa sasa.

View attachment 3496300
Watu wa aina ya Ulimwengu na Joseph Warioba waliobaki ni wachache sana. Amesema ukweli na kuonyesha hasara na munkari wake. Kongole baba.
 
Back
Top Bottom