GBBali
JF-Expert Member
- Sep 2, 2013
- 1,931
- 537
Hata kumbukumbu huna Ruvu Magu huyu huyu. Ccm ni wale wale. Fisadi zaidi yake ni nani anajizolea mihela bila kujali bunge lilipanga nini vikao vyote ni hasara tupu yeye ndio yeye. Anamshitaki Tido matumizi mabaya ya madaraka yeye hizo za bombadia kaizinisha nani?Mbona ulimboka alitolewa kucha kipind cha jk,mwembechai,mto ruvu watu waliokotwa ktk viroba tawala zilizopita,ni uhalifu kama uhalifu mwingine,sema awamu hii ngosha kashika pabaya, ukiwa poacher anakudaka,ukibeba sembe anakudaka,ukipindisha check unae,ukirob mahali unae,wewe na familia yako mlozoea hayo mambo lazima uumie tu,sisi wajinga tusiosona huku kusini na tunakomjazia kura tunamwona wa maana,nyie wapigaji jasho lazima liwatoke,na bado.