Jemedari wa Iran akionesha namna ya kukwepa Mabomu ya Israel na Marekani

Jemedari wa Iran akionesha namna ya kukwepa Mabomu ya Israel na Marekani

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,163
Reaction score
22,739
Huyu ana demonstrate kitaalamu jinsi ya kukwepa wasiuliwe na mabomu ya makafir ya Mayahudi na Mamarekani kwa kupiga msamba aka kusambika. Hii mbinu imeonekana ni nzuri na inafaa. Na ukimwangalia jemedari. Si haba. Mashallah.
Screenshot_2025-06-22-11-28-39-865_com.android.chrome.jpg
 
Sema kofia za majemedari wa Iran zimekaa bomba sana unyama ni mwingi sana Israel akidondosha mwingine hapo nawahi kofia
 
Huyu ana demonstrate kitaalamu jinsi ya kukwepa wasiuliwe na mabomu ya makafir ya Mayahudi na Mamarekani kwa kupiga msamba aka kusambika. Hii mbinu imeonekana ni nzuri na inafaa. Na ukimwangalia jemedari. Si haba. Mashallah.
View attachment 3378648
Una dhihaka sana mkuu. Yaani bomu ukwepe kwa kupiga msamba?. Hahahaaaaa
 
Huyu ana demonstrate kitaalamu jinsi ya kukwepa wasiuliwe na mabomu ya makafir ya Mayahudi na Mamarekani kwa kupiga msamba aka kusambika. Hii mbinu imeonekana ni nzuri na inafaa. Na ukimwangalia jemedari. Si haba. Mashallah.
View attachment 3378648
Iran wapo vizuri sana cheki kwenye hizi mbanga wananchi wake hao kulia anti ayatollah kushota anti khamanei
misho Iran.jpg
 
Back
Top Bottom