Hakika jela hii laiti ingekuwa hapa ingejaa kupindukia na labda tungeiita PEPONI JAIL nadhani ubakaji wa watoto wadogo ungeshika kasi ili mahakimu kama Eddy Lyamuya akandamize vifungo vya maisha bila wasisi. Lakini ili kuingia jela kama hii ingekuwa lazima utoe mlungula. Nandhani hata mafisadi wangekuwa wanakiri tu kwamba kweli waliiba pesa za EPA. Hata Chenge alivyo tua jana angefika na kusema "Ndugu waandishi wa habari ni kweli nilihusika sana katika sakata la radar na mikataba mibovu na nitajitahidi kurudisha pesa kama ikiwezekana" P