Boflo JF-Expert Member Jan 20, 2010 4,384 4,409 Jan 20, 2012 #1 Wana Jf mmeiona jela hiyo ya Bongo... Sasa kulala namna hii si hatari jamani.. Maana kuna manjemba wanaweza wakakunyatia usiku..
Wana Jf mmeiona jela hiyo ya Bongo... Sasa kulala namna hii si hatari jamani.. Maana kuna manjemba wanaweza wakakunyatia usiku..
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,656 68,601 Jan 20, 2012 #2 Aisee nimekubali wewe ni boflo
Boflo JF-Expert Member Jan 20, 2010 4,384 4,409 Jan 20, 2012 Thread starter #3 King Kong III said: Aisee nimekubali wewe ni boflo Click to expand... kivipi??........King Kong hapo zama za kale ulikuwa unatumia id gani???
King Kong III said: Aisee nimekubali wewe ni boflo Click to expand... kivipi??........King Kong hapo zama za kale ulikuwa unatumia id gani???
Boflo JF-Expert Member Jan 20, 2010 4,384 4,409 Jan 21, 2012 Thread starter #4 King Kong III said: Aisee nimekubali wewe ni boflo Click to expand... Nimewahi kulala jela.......sina hamu nako
King Kong III said: Aisee nimekubali wewe ni boflo Click to expand... Nimewahi kulala jela.......sina hamu nako
Dr.Chichi JF-Expert Member Apr 30, 2008 2,394 631 Jan 21, 2012 #5 full kujambiana baada ya kula ugali na maharagwe mabovu
Ndahani Platinum Member Jun 3, 2008 18,119 9,049 Jan 21, 2012 #6 Are you sure hii ni picha ya jela, bongo?
Boflo JF-Expert Member Jan 20, 2010 4,384 4,409 Jan 21, 2012 Thread starter #7 Ndahani said: Are you sure hii ni picha ya jela, bongo? Click to expand... .......Ndahani, jela hiyo ya Bongo
Ndahani said: Are you sure hii ni picha ya jela, bongo? Click to expand... .......Ndahani, jela hiyo ya Bongo
Duble Chris JF-Expert Member May 28, 2011 3,481 564 Jan 21, 2012 #8 Inasemekana ni jela mojawapo huko Malawi
Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,227 113,583 Jan 21, 2012 #10 Boflo una vituko sana aisee. Halafu kweli wewe ni si riziki au basi tu umeamua kuchezea akili za watu humu?
Boflo una vituko sana aisee. Halafu kweli wewe ni si riziki au basi tu umeamua kuchezea akili za watu humu?
driller JF-Expert Member Aug 25, 2011 1,116 240 Jan 22, 2012 #13 dah sasa hayo maboresho tuliyo ambiwa yamefanywa.. yako wapi..?
Mjanga JF-Expert Member Feb 13, 2011 1,238 324 Jan 22, 2012 #14 Mhhhhhhh! hivi wewe ni Boflo la Mkate au Godoro??? nauliza tu! Boflo said: View attachment 45809 Wana Jf mmeiona jela hiyo ya Bongo... Sasa kulala namna hii si hatari jamani.. Maana kuna manjemba wanaweza wakakunyatia usiku.. Click to expand...
Mhhhhhhh! hivi wewe ni Boflo la Mkate au Godoro??? nauliza tu! Boflo said: View attachment 45809 Wana Jf mmeiona jela hiyo ya Bongo... Sasa kulala namna hii si hatari jamani.. Maana kuna manjemba wanaweza wakakunyatia usiku.. Click to expand...
1 19don JF-Expert Member May 13, 2011 672 205 Jan 23, 2012 #16 hiyo inaitwa mchongoma baada ya muda inatolewa amri ya kugeuka
S sawabho JF-Expert Member Feb 25, 2011 5,286 3,107 Jan 23, 2012 #17 Hiyo inaitwa kumba lala, ili ugeuke lazima filimbi ipigwe na mnagueka wote kwa pamoja.
obsesd JF-Expert Member Nov 23, 2011 1,225 525 Jan 23, 2012 #18 kuna ukweli hapo jaman??? yan ndio kuko ivoo?? mmh basi hali ni tete jaman ouchh.