Jela miaka 20 kisa vipande 14 vya pofu

Hii sheria hapana, ni katili tena ya kikoloni. Inaumiza haina faida ya kulinda raslimali bali kumnyanyasa mlalahoi kwa kiasi cha kuogofya.
Ni sheria mbaya mno mno. Lakini serikali haijali kwa sababu wanaofungwa ni walalahoi wanaotafuta vitoweo vya watoto. Wale wanaouza wanyama wazima wazima kwa waarabu hawaguswi, tena wanasifiwa. Hii bila wananchi kuamka kwenye usingizi tuliolala na kuiondoa CCM haitabadilika. Ila na mahakimu wengine wana roho mbaya mno. Walaaniwe na vizazi vyao. Hata kama ni sheria lakini hakimu inabidi awe na utu na siyo kukomoa.
 
Kwenye issue kama hizi huwezi sikia feminist kama kina jokate na carol ndosi wakipaza sauti, ila angekuwa ni mwanamke sasa binie kidoti tayari angekua ameshafika na v8 lake kwenda kupiga piga picha na mtuhumiwa. Ukizaliwa mwanaume PAMBANA hakuna wa kukuonea huruma
 
yule mzungu analipa dola ef3 anavua mamba mkubwa kabisa yan mda mwngine naonag izi mbuga wakol9n wameweka shelia za ajab ili wao waje watalii na kujiwindia tu asume mungu alitupa wanyama kweny ardh yake km vitoweo nenda kaombe kbal uone utavzngushwa mambo meng kumfunga mtu mwenye familia inaomtgmea nikuathir uchum wa familia kwa mnyama tu m1 how cum mnyama awe na thaman kulko utu...my opinion serikal ingeeka tu sheria ya fain na kifungo kisichozd miak mi3 kwa wanyama alaf fain zikaw ukubwa kufatan na aina ya mnyama mdudu km uyo labda gain ingekua milion 2 au jela miak 3 manak ht uyo anaewinda akiuza na gharama apat milion 2 kwa mnyama m1 humanitarian ipo beyond of animalterian now..stupid
 
Hapa naona changamoto iko kwenye sheria!
Nadhani ni wakati muafaka kwa watunga sheria kuangalia namna gani ambavyo adhabu hii inaweza kupunguzwa angalau ikawa miaka 3!
Lakini hata hivyo Wananchi tuchangamkie vibali vya kuwinda,kuliko kuvunja sheria hizi kandamizi ambazo zinamgharimu mharifu miaka mingi gerezani kwa vipande vichache vya nyama pori.
 
Back
Top Bottom