funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
Jela sio sehemu nzuri tujirekebishe.Tusifanye utani na Jela.Hongereni wote mliotoka jela.
cc: Nyani Ngabu Simba bujibuji pasco
cc: Nyani Ngabu Simba bujibuji pasco
Umeumìa sana ....akili za Kimaskini hizi uçhoyo uchawi ujinga roho mbaya wivu majunguJela sio sehemu nzuri tujirekebishe.Tusifanye utani na Jela.Hongereni wote mliotoka jela.View attachment 2139187
cc: Nyani Ngabu Simba bujibuji pasco
EU baba lao...te teh kama umeumia kachimbe UJIFUKIEkwa nini umesema nimeumia?Jirani vipi?hauko sawa?
Mnafunguwa vinyuzi kama Nguchiro katekwa mateka ....Mwamba katinga IKulu mmebaki kutowa macho hii nchi ni ya WaTanzania wote mmmandegesi
Kaenda kusujudu!Mnafunguwa vinyuzi kama Nguchiro katekwa mateka ....Mwamba katinga IKulu mmebaki kutowa macho hii nchi ni ya WaTanzania wote mmmandegesi
Mi nakujua, naziona posts zako hapa mtandaoni, unapenda sana siasa kali za kifashistiUmetoa wapi haya mawazo?
Nani amempa mwenzake fursa??Hongera Mbowe kwa kupewa fursa adhimu
Kubali tu siasa zenu kwa sasa hazina nafasi ndani ya nchi hii, labda muhamie Burundi huko,itakuwa tunajuana bila shaka..sina siasa za kinafiki...I WIll BE BACK