Jela jamani mpasikie tu wapendwa

Jela jamani mpasikie tu wapendwa

Ruge kafanana na Burning spear na huyo Seth ni kama wale makuani wakuu kwenye muvi ya yesu hizo ndevu

Hahahah, wee jamaa aisee MUNGU anakuona ujue. Haya bhana.
 
Na baadhi ya watu hufurahia mateso ya watu wengine lakini kwa mwanaume yeyote kabla hujafa,huna guarantee ya kutokwenda jela.
 
Na baadhi ya watu hufurahia mateso ya watu wengine lakini kwa mwanaume yeyote kabla hujafa,huna guarantee ya kutokwenda jela.

Yaambie mawe ya rock city mkuu. Hayaskii yale coz mawe hayana maskio mkuu. Ahsante.
 
Halafu jinsi binadamu walivyowepesi kusahau, baada ya kutoka hapa kuwasikitikia hawa wazee, na yeye anakwenda kufanya yale yale.
 
manina na vikapu vyao kama mpemba katoka gengeni kwa wivu wa mkewe,kweli dhambi hulipwa hata siku ya mauti.
 
Back
Top Bottom