Jela jamani mpasikie tu wapendwa

Jela jamani mpasikie tu wapendwa

Bado picha za Malinzi na wenzie wakina Aveva... maana nao kesi zao ni kama za hawa...

hapa ndio una kuja ngundua pesa unayo lakini haikusaidii kwa sasa... pesa ya dhamana ipo lakini sheria hairuhusu... daaah maisha haya
 
Jamaa ni tamaa zilimponza, alikuwa yupo S.Africa, akaja bongo kimya kimya kuja kuongeza mkataba na IPTL, wakati anarudi S.A wakamnyaka uwanja wa ndege
Duh kumbe ndiyo walimuotea hivyo! Sasa atatia akili.
 
Si ndio nasema kama una watu wa kukuletea msosi na mavazi si unakula chochote ukitakacho na kuvaa nguo zako tu za kawaida mkuu...?
mkuu mahabusu ni noma kukaa coz mda unasepa na bado kesi yako hujui inasikilizwa lini ni muda wa kupigwa kalenda tu ni afadhal upewe hukumu ujue uko wap kule mahabusu ni shida aisee asikwambie m2 hata kama unapesa na msosi mzuri toka kwa ndugu but life la kule ni shedaaaa kitu kina self container afu mpo 50 ndani harufu hiyo aikwambie m2 labda mahabusu za bush kdg afadhali
 
Bado picha za Malinzi na wenzie wakina Aveva... maana nao kesi zao ni kama za hawa...

hapa ndio una kuja ngundua pesa unayo lakini haikusaidii kwa sasa... pesa ya dhamana ipo lakini sheria hairuhusu... daaah maisha haya

Ndio hivyo aisee pesa si kila kitu mkuu.
 
mkuu mahabusu ni noma kukaa coz mda unasepa na bado kesi yako hujui inasikilizwa lini ni muda wa kupigwa kalenda tu ni afadhal upewe hukumu ujue uko wap kule mahabusu ni shida aisee asikwambie m2 hata kama unapesa na msosi mzuri toka kwa ndugu but life la kule ni shedaaaa kitu kina self container afu mpo 50 ndani harufu hiyo aikwambie m2 labda mahabusu za bush kdg afadhali

Jela jeraha mkuu. Acha tu aisee.
 
Bado picha za Malinzi na wenzie wakina Aveva... maana nao kesi zao ni kama za hawa...

hapa ndio una kuja ngundua pesa unayo lakini haikusaidii kwa sasa... pesa ya dhamana ipo lakini sheria hairuhusu... daaah maisha haya

Vuta subra utapata tu picha. Ahsante.
 
mzee suluali atafungaje mkanda... bora apige kanzu... maana hapo mpka kiuno kirejee katika size yake kala mkwiji sana

Hahahah, watu mna maneno jamani. Mweh.
 
Kila mtu alipe kulingana na matendo yake. Ila kama ni kutupiga, jamaa wametutandika aisee. Ruge bhana, rozari utafikiri mweemah kumbe jizi.

Ukiwa kwenye jua ni lazma utafute pa kujifichia mkuu.
 
Back
Top Bottom