uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,789
- 4,451
Mpanda ngazi ushuka pia
Yaan kaisha aisee..Ruge ndio kawa kama nguzo ya umeme
Mkuu bora jela kuliko mahabusu.. Mahabusu ni shida sana ila jela kidogo unathaminiwaHapo ni mahabusu! Wakiingia jela tunazika kabisa!!
Ila nina uhakika akitoka ataipenda shepu yake, hana kitambi tena.
Alafu bado hawajaenda jela, wapo selo tu.
Ongezea na ile filamu ya samsoni na Delila utaona nguvu ya nywele za kichwa na sio zingineNimejifunza kitu kwamba kuota mvi sio uzee tu, hata matatizo yakikuzidi nywele zinakuwa nyeupe
HahahahahahahahahaKwani nywele nyingine hazina nguvu mkuu...?