stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,998
- 4,250
Kuna ndugu yangu alipelekwa mahabusu pale segerea miezi nane.. alirudi kama fuvuMkuu mahabusu si wanakaa tu hawafanyi kazi kama wafungwa na hata msosi pia si wanakula wanachotaka tofauti na wafungwa au nimekosea mkuu...?
hakuna cha chakula cha kuchagua wala nini wanakula ovyo tu sehemu ya kulala ndo usipime chafu halafu wanarundikwa wengi chumba kimoja..
Kama huna ndugu wa kukuletea chakula na nguo utajuta. Nguo ulizoingia nazo zitachakaa mwilini
Hao mbu sasa usipime