bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
kikwete kaenda
kuwatembelea vichaa.
Docta akawachagua vichaa
wenye nafuu wampokee.
Basi jk akaja na escort
yake.akawa anazungumza na kichaa mmoja ikawa
hivi:
jk: mbona unanishangaa
hivyo
kichaa: mi nililetwa humu na
watu watatu tu ila wewe inaonekana ni kichaa sana
mpaka umeletwa na watu
wengi sana. Ila karibu.
Jk:'?!?@;!!
kuwatembelea vichaa.
Docta akawachagua vichaa
wenye nafuu wampokee.
Basi jk akaja na escort
yake.akawa anazungumza na kichaa mmoja ikawa
hivi:
jk: mbona unanishangaa
hivyo
kichaa: mi nililetwa humu na
watu watatu tu ila wewe inaonekana ni kichaa sana
mpaka umeletwa na watu
wengi sana. Ila karibu.
Jk:'?!?@;!!