Manager JF-Expert Member Apr 21, 2011 531 73 Oct 5, 2012 #22 Ufisadi mpaka Jehanum, hii inchi ni noumer!
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,364 94,542 Oct 5, 2012 #24 Nimeikubalia aisee ila tz tunatisha jombaaa Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Oct 5, 2012 #25 Hahahahaaaa...nice joke kwa kweli.
Mlaleo JF-Expert Member Oct 11, 2011 13,384 9,751 Feb 3, 2013 #27 Jahanamu ikipata umeme wa gas mambo yataharibika bora wamachinga waendelee kuigomea gas yao isitoke....
Jahanamu ikipata umeme wa gas mambo yataharibika bora wamachinga waendelee kuigomea gas yao isitoke....
Piere. Fm JF-Expert Member Mar 10, 2011 2,208 1,170 Feb 3, 2013 #30 Hahahahaha!! Pamoja na kwamba nimefurahi but kuna kitu inabidi sisi ka watanzani tujifunze katika hyo jehanam ya Kitanzania.
Hahahahaha!! Pamoja na kwamba nimefurahi but kuna kitu inabidi sisi ka watanzani tujifunze katika hyo jehanam ya Kitanzania.
SALOK JF-Expert Member Sep 20, 2011 3,318 1,936 Feb 4, 2013 #32 sijaipenda hata kidogo! Inapinga na maagizo ya Mungu.
M Magwero JF-Expert Member Oct 28, 2011 243 75 Feb 4, 2013 #33 Ha,ha,kha... Sasa hii ntamsimulia GF wangu kwanza na washkaji.. Ntaitia Udambwidambwi.. mbona ntawavunjilia mbali mbavu zao.
Ha,ha,kha... Sasa hii ntamsimulia GF wangu kwanza na washkaji.. Ntaitia Udambwidambwi.. mbona ntawavunjilia mbali mbavu zao.