Jeffery Samson Mkuki: Msomi wa Chuo Kikuu anayehangaika kijijini bila ajira

Kibongo bongo baada ya kujua kusoma na kuandika na kupanga panga baadhi ya namba hakuna kingine chochote itakachokusaidia elimu ya Tanzania.ila nae ali-made some mistake,hakutakiwa kurudi kijiji angepambana kutafuta chumba cha kupanga town alikokuwa na hayo mashirika yaliyompa deiwaka madogo wakasomee huko.

Sasa mpo wote kijiji maisha haya yalivyokuwa magumu nani atamsaidia mwenzake?Mnajikuta wewe uliyesoma unadumaa huku yule asiyesoma kabisa ambae lengo lako ulikuwa umsaidie naye anadumaa zaidi basi mkikaa mnafarijiana tu kimaskini.
 
Kwanza tukubaliane Elimu yetu Tanzania haisaidii mwanataaluma kuweza kukuza fikra yake ili abadilishe mazingira yanayomzunguka, mtu anasoma theoretical based education ambayo kimsingi haitomsaidia popote

πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Mfumo wa elimu hii tuliyorithi kutoka kwa mkoloni inachangia nchi zetu kuzidi kua masikini, nchi ambazo wameendelea walishahama kutoka kwenye theoretical edution na walishahamia kwenye talent based education na specialised education miaka mingi sana. Leo hii Cristiano Ronaldo ana msaada mkubwa kwa nchi yake kuliko mchango wa maprofesa wetu na madaktari wetu wa falsafa kiasi ya kwamba ukiona wanavoargue hao tittled learners wetu doctors na proffessors utaona mapungufu ya elimu yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…