Kibongo bongo baada ya kujua kusoma na kuandika na kupanga panga baadhi ya namba hakuna kingine chochote itakachokusaidia elimu ya Tanzania.ila nae ali-made some mistake,hakutakiwa kurudi kijiji angepambana kutafuta chumba cha kupanga town alikokuwa na hayo mashirika yaliyompa deiwaka madogo wakasomee huko.
Sasa mpo wote kijiji maisha haya yalivyokuwa magumu nani atamsaidia mwenzake?Mnajikuta wewe uliyesoma unadumaa huku yule asiyesoma kabisa ambae lengo lako ulikuwa umsaidie naye anadumaa zaidi basi mkikaa mnafarijiana tu kimaskini.