Jeee unatamani kua na mume kama huyu?

Jeee unatamani kua na mume kama huyu?

Pole zao walio kwenye ndoa maana hiyo scenario kwa kweli ni ngumu kumeza.

Afadhali sie ambao hatuko kwenye ndoa maana focus yako inakuwa kwa mtoto tu basi.
Wanaume wakibongo mmefulia namna hiyo
 
Lov kijacho nitambeba tena sana! Hila nilicho kuwa na maanisha kuwa pengine hiyo si kipimo cha mapenzi ya dhati pengine jamaa ana lazimishwa who knows?

Si wote wanao fanya hivyo wanapenda, wengine wametengenezwa! Ila mimi nitafanya kwa mapenzi yangu!

ina maana kijacho akizaliwa
hautambeba au?hebu funguka!
 
Kwa kawaida kina dada wengi wanajisikia kumpata mume aliobora

Kwa akina dada jeee unafurahia kumpata mtu wa aina hiii au unachukia?

Na jeee wanaume munafurahia hii hali ya kuwasaidia familia zenu au kwenu ni ubwege?
attachment.php


317566_236161306438658_426991829_n.jpg

Mimi sioni tatizo tena kama hawa mababa wanavyofanana na Mabint zao kuwafungia migongoni ni afahari kabisa
Wewe km umesingiziwa na mtoto katoka Singer au Mwarabu usithubutu kumbeba au kusaidi autachekwa
hapa hata km Mama katoka Out siku hiyo acha aende mtot na akili atajua tu tabia za Mama yake iko siku
 
Lov kijacho nitambeba tena sana! Hila nilicho kuwa na maanisha kuwa pengine hiyo si kipimo cha mapenzi ya dhati pengine jamaa ana lazimishwa who knows?

Si wote wanao fanya hivyo wanapenda, wengine wametengenezwa! Ila mimi nitafanya kwa mapenzi yangu!
thats y i love u honey
una mapenzi ya kweli!
hakuna zaidi yako!
 
Ndugu unaeitazama picha hiyo usidanganywe huwezi kupata mtu na namna hiyo vinginevyo kuna tatizo mahali eitha upande wa baba au mama labda mkewe kilema hawezi kubeba mtoto wala kufua na hawana uwezo wa kuajiri housegirl au mume kalishwa limbwata vinginevyo hakuna kitu kama hicho kwa kawaida kabisa kinapingana hata na nadharia ya kawaida ya mama na baba kuwa na majukumu ya familia.
 
Inawezekana ndugu yang mambo yako hivyo hata katika dini ya kiislamu hivyo ndivyo inavyotakiwa na ni jukumu la mume kutunza watoto na kazi za ndani mwanamke kufanya ni mapendekezo yake tuuuu
 
Niaje rafiki? Maana sijakupata kidogo hapo...wataka tafsiri ama?

Hapana..sijui ni akili yangu au ndicho hasa ulichomaanisha by SMDH??! like Shaking My :censored: Head!???:rockon:
 
attachment.php
317566_236161306438658_426991829_n.jpg


Jamaa wanaonekana wana mawazo sana na hawana furaha. Inawezekana wake zao wamepata matatizo makubwa either ya kiafya, au ambayo yamewafanya wasiweze kukaa na watoto.
 
Hiyo inaitwa hakisawa mjukum kwa ote kasoro kubeba mimba na kunyonyesha
 
...Kishalishwa vya kulishwa!!! kumbe anatimiza wajibu wake kama mume na Baba...bado tuna safari ndefu sana. Baadhi ya Wanaume/Wanawake wanadhani kuwa baba ni kujaza mimba tu lakini majukumu mengine kama hayo pichani baada ya kiumbe mtarajiwa kuzaliwa hayawahusu wanaume.

Anatia aibu kivipi lakini?

Halafu cha ajabu sasa utakuta baadhi ya wanawake nao wanamuona jamaa ni bbwege. SMDH
 
Back
Top Bottom