Jeee unatamani kua na mume kama huyu?

Jeee unatamani kua na mume kama huyu?

... Salamu kwako Bushoke!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nasisitiza, unaweza kumuonyesha mkeo unampenda kwa dhati kabisa bila kufanya hizo shughuli.

Tuacheni kuiga mambo ya kijinga, fanya majukumu yako ya msingi kama mwanaume. Kudeki, kupika, kufua, kumuogesha mtoto, kupiga pasi n.k kwa namna yoyote havi-prove mapenzi yako kwa mkeo.

Wanawake zetu hata kama hawatuambii lakini nina imani kabisa wangependa kumuona BABA mwenye msimamo na anayejua majukumu yake kama baba and not otherwise.
 
Kusaidiana shughuli mbalimbali katika familia ipo sana. Ila wakati mwingine unatakiwa kuangalia mazingira ya shughuli yenyewe. Sijuhi mama anaweza kubanwa na majukumu gani kwa wakati mmoja mpaka baba abebe mtoto mgongoni kwa wakati huo huo afue na nguo.


Mgawanyo wa majukumu ni muhimu pia.
 
Ila wakati mwingine ni vizuri hata wanaume wababe wajue kuwa kuna wanaume wanyonge katika familia zao. Tena wanaume hawa wanapokuwa nje ya familia zao wanajifanya vidume vya nguvu.
 
Kwa kawaida kina dada wengi wanajisikia kumpata mume aliobora

Kwa akina dada jeee unafurahia kumpata mtu wa aina hiii au unachukia?

Na jeee wanaume munafurahia hii hali ya kuwasaidia familia zenu au kwenu ni ubwege?

Nimpate wapi mume wa aina hii? I really like this but mhhhh
 
that's too much! ni kweli kusaidiana kupo,lakini ndo mtoto mgongoni na kufua juu? hapo si mapenzi tu,kutakuwa na mengineyo ikiwemo kudundwa na mkewe asipofanya hivyo mana kuna wanawake wanapiga waume zao na pia wao ndo wenye sauti ndani ya nyumba ivo wana uwezo kuwafanyia chochote wanachopenda waume zao ikiwemo kuwapangia ratiba ya kazi za ndani daily,ila sema wanaume wengi hawasemi kwa kuhofia kuchekwa na kudharauliwa na watu.
 
Back
Top Bottom