Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
[h=1][/h]Written by amini // 21/12/2011 // Habari // No comments
Hakuna shaka kuwa mshtakiwa no X katika kesi ya mauwaji ya Karume alikuwa ni Juliasi Nyerere lakini kwa kipindi kile alihifadhiwa kutajwa jina lake ktk Mahakama kuu ya Zanzibar.
Wazee wetu Zanzibar wanasema asilimia % 70 ya kifo cha Father K kilipangwa na Master plan ya Nyerere ili apate kuitawala Zanzibar kiujanja ujanja kwa vile kuna baadhi ya mambo Father K alikuwa msugu na asio kubali kirahisi.
Siri nyingi zilijitokeza baada ya kufa Father K lakini usalama wa taifa walijaribu kuzizima kwa mkono wa chuma wa Nyerere kutimiza malengo yake ya kuifunika Zanzibar kiutawala.
Sababu za kifo cha Father K
Baada ya Nyerere kumuona Karume kuwa baadhi ya mambo sio mwepesi wakukubali alijaribiu kujifanya dumi lakuwili na Master plan na kumtumia Humud na kundi lake kwa kuwapika chuki kumbe alikuwa na ajenda yake mbali ya kuitawala Zanzibar kimpinu.
Father K nakumbuka pale katika uwanja wa Maisara alitutangazia kuwa wananchi wa Zanzibar musiwe na wasi wasi na Muungano, huu Muungano ni wakipindi cha miaka 10 tu ikifika miaka kumi tutauangalia vipi unatufaa au vipi?.
Na kabla ya miaka kumi ikiwa hautufai basi tutauvuja nikama vile koti ikiwa tutahisi linatubana basi tutalivua au ikiwa tunahisi linatuletea joto basi tutalivua tubakie na chati ,
Wengi wanasema hawakumfahamu raisi wetu alikusudia nini siku ile, badhi ya wazee wamekuja kufahamu hivi sasa kuwa Father K alikuwa tayari amesha mfanyia wasi wasi mwenzake Nyerere kuwa hakuwa na nia njema na Muungano.
Kuanzia kipindi kile alichotutangazia katika hadhara Mh Karume ilianza mivutano na vugu vugu za ndani na kulikuwa na hata kufarikiana badhi ya wakati wazee wa karibu na Father K wanasema.
Kuna tetesi zinasema kuna badhi ya kipindi Father K alikuwa akinugunika kuwa Nyerere anajifanya kaka mkubwa mwenye kumpangia mambo akafika hadi kusema sote ni wanaume na mwanamme hapangiwi kazi ya kufanya na mwaname mwenzake.
Migogoro ilikuja pale Nyerere alipotaka kupitisha mambo kwa Tanganyika na yafanye kazi mpaka Zanzibar na mengine nikama vile pesa za kigeni alitaka Nyerere azikamate yeye Tanganyika hali yakuwa Zanzibar ilikuwa inajitosheleza kifedha ukilinganicha na Tanganyika kipindi hicho.
Nyerere hakuwa na zamira njema na Karume katika Muungano, bali alikuwa na agenda yake mbali na fikra za Karume, alijaribu kujifanya Ndumi la kuwili ili lengo lake liwe kuitawala Zanzibar.
Nyerere bada ya mapinduzi ya Zanzibar 1964 kumgowa Sultan alitumia kigezo cha kumchawichi Karume kwa kumteka mawazo kwa kumwambia nitakuwa karibu sana na wewe kiulinzi na kimawazo ili Warabu wasiweze kurudi tena kukupinduwa.
Ndio hapa akatumiminia Jeshi la Wakuria kila pembe ya visiwa vya Unguja na Pemba hii nikuona kuwa Karume kulindwa kumbe ni kuwa Zanzibar katika himaya ya kijeshi na mikononi mwa Juliasi.
Baada ya kupinduliwa Sultan (Warabu) Nyerere aliwapokea warabu Tanganyika makundi kwa makundi na kuwapa hifadhi bila ziki, kama kweli hakuwa na agenda ya siri kwa nini aliwapa hifadhi? .
Lakini agenda ya Nyerere ilikuwa sio Warabu nikuizibiti Zanzibar tukiashana na Sultan(Warabu) kulikuwa na Wazanzibar wasomi na wana Afro Shiraz na wana mapinduzi kindaki ndaki akina Hanga, Mdugi Ussi,Othman Sharif, Jahaa na wenzake.
Hawa wote walikuwa Wazanzibar safi na wamesoma na ni wafrica wa Zanzibar na wana Afro-Shirazi na wana Mapinduzi no 1 lakini walifanywa nini na Ndumi la kuiwi Nyerere kwa kumtia sumu mbaya Karume.
Nyerere aliona kumuua tu Father K haito tocha kama hawa Wazanzibar halisi wasomi wana Afroshirazi na wana mapinduzi na Wafrica bado watakuwepo, alichokifanya alitumia mrija wa sumu kati ya hawa na Karume kwa kuwagonganicha vichwa.
Kilicho fanywa na Master plan Nyerere mara hii ilikuwa sio plan ya Sultani (warabu) kurudi na kumpinduwa ni kulete mfarakano wa Karume na wana mapinduzi wana Afro-Shirazi wenzake akina Mdugi Ussi na wenzake kugonganichwa vichwa.
Technique ya mara ya mipango ya Nyerere ni ufisadi wa kupika sumu ya fitna na kumpa Karume kwa kumwambia kuwa kama huja washuhulikia hawa akina Mdungi Ussi na wenzake basi kuna hatari ya kukupinduwa hawa ni Wazanzibar safi na wasomi walio bobea.
Baada ya Nyerere kufanikiwa hivyo Karume ikawa hana raha tena na watu hawa ndipo pale alipoanza kuwa sumbua na takribani wengi walikimbilia Tanganyika kutokana na kuhisi kuwa mafahamiano na Karume yamekuwa madogo.
Hawa hawakupata mapokezi mazuri kwa Nyerere ilikuwa bora ya wale Sultan(Warabu) Nyerere aliwapokea na kuwapa hifadhi kuliko hawa wana mapinduzi wana wa Afro-Shirazi na Wafrika.
Hofu ya Nyerere kwa hawa ilikuwa ni kushindwa kutimiza zima yake ya kuitawala Zanzibar kama bado watakuwa hai, ndio akaamua kupeleka fitna zakwamba hawa wana anjenda ya kukupinduwa kwa hio Nyerere akawapeleka Zanzibar na kwenda kuwawa.
Kwa hio Nyerere hakuwa na zamira nyema na Zanzibar ,mapinduzi wala Karume na Kundi lake la Afro-Shirazi.
Jee Wazanzibar tujiulize hawa akina Mdugi Ussi,Ubwa Jaha,Othani Shariff na wenzake kosa lao nini na hawa walikuwa wana mapinduzi ,Afro shirazi,Wazanzibar na Wafrika weusi jee vifo vyao mpaka leo vina utata, jee kosa lao nini?.
Mungu ibariki Zanzibar na Wazanzibar wote.
Wazee wetu Zanzibar wanasema asilimia % 70 ya kifo cha Father K kilipangwa na Master plan ya Nyerere ili apate kuitawala Zanzibar kiujanja ujanja kwa vile kuna baadhi ya mambo Father K alikuwa msugu na asio kubali kirahisi.
Siri nyingi zilijitokeza baada ya kufa Father K lakini usalama wa taifa walijaribu kuzizima kwa mkono wa chuma wa Nyerere kutimiza malengo yake ya kuifunika Zanzibar kiutawala.
Sababu za kifo cha Father K
Baada ya Nyerere kumuona Karume kuwa baadhi ya mambo sio mwepesi wakukubali alijaribiu kujifanya dumi lakuwili na Master plan na kumtumia Humud na kundi lake kwa kuwapika chuki kumbe alikuwa na ajenda yake mbali ya kuitawala Zanzibar kimpinu.
Father K nakumbuka pale katika uwanja wa Maisara alitutangazia kuwa wananchi wa Zanzibar musiwe na wasi wasi na Muungano, huu Muungano ni wakipindi cha miaka 10 tu ikifika miaka kumi tutauangalia vipi unatufaa au vipi?.
Na kabla ya miaka kumi ikiwa hautufai basi tutauvuja nikama vile koti ikiwa tutahisi linatubana basi tutalivua au ikiwa tunahisi linatuletea joto basi tutalivua tubakie na chati ,
Wengi wanasema hawakumfahamu raisi wetu alikusudia nini siku ile, badhi ya wazee wamekuja kufahamu hivi sasa kuwa Father K alikuwa tayari amesha mfanyia wasi wasi mwenzake Nyerere kuwa hakuwa na nia njema na Muungano.
Kuanzia kipindi kile alichotutangazia katika hadhara Mh Karume ilianza mivutano na vugu vugu za ndani na kulikuwa na hata kufarikiana badhi ya wakati wazee wa karibu na Father K wanasema.
Kuna tetesi zinasema kuna badhi ya kipindi Father K alikuwa akinugunika kuwa Nyerere anajifanya kaka mkubwa mwenye kumpangia mambo akafika hadi kusema sote ni wanaume na mwanamme hapangiwi kazi ya kufanya na mwaname mwenzake.
Migogoro ilikuja pale Nyerere alipotaka kupitisha mambo kwa Tanganyika na yafanye kazi mpaka Zanzibar na mengine nikama vile pesa za kigeni alitaka Nyerere azikamate yeye Tanganyika hali yakuwa Zanzibar ilikuwa inajitosheleza kifedha ukilinganicha na Tanganyika kipindi hicho.
Nyerere hakuwa na zamira njema na Karume katika Muungano, bali alikuwa na agenda yake mbali na fikra za Karume, alijaribu kujifanya Ndumi la kuwili ili lengo lake liwe kuitawala Zanzibar.
Nyerere bada ya mapinduzi ya Zanzibar 1964 kumgowa Sultan alitumia kigezo cha kumchawichi Karume kwa kumteka mawazo kwa kumwambia nitakuwa karibu sana na wewe kiulinzi na kimawazo ili Warabu wasiweze kurudi tena kukupinduwa.
Ndio hapa akatumiminia Jeshi la Wakuria kila pembe ya visiwa vya Unguja na Pemba hii nikuona kuwa Karume kulindwa kumbe ni kuwa Zanzibar katika himaya ya kijeshi na mikononi mwa Juliasi.
Baada ya kupinduliwa Sultan (Warabu) Nyerere aliwapokea warabu Tanganyika makundi kwa makundi na kuwapa hifadhi bila ziki, kama kweli hakuwa na agenda ya siri kwa nini aliwapa hifadhi? .
Lakini agenda ya Nyerere ilikuwa sio Warabu nikuizibiti Zanzibar tukiashana na Sultan(Warabu) kulikuwa na Wazanzibar wasomi na wana Afro Shiraz na wana mapinduzi kindaki ndaki akina Hanga, Mdugi Ussi,Othman Sharif, Jahaa na wenzake.
Hawa wote walikuwa Wazanzibar safi na wamesoma na ni wafrica wa Zanzibar na wana Afro-Shirazi na wana Mapinduzi no 1 lakini walifanywa nini na Ndumi la kuiwi Nyerere kwa kumtia sumu mbaya Karume.
Nyerere aliona kumuua tu Father K haito tocha kama hawa Wazanzibar halisi wasomi wana Afroshirazi na wana mapinduzi na Wafrica bado watakuwepo, alichokifanya alitumia mrija wa sumu kati ya hawa na Karume kwa kuwagonganicha vichwa.
Kilicho fanywa na Master plan Nyerere mara hii ilikuwa sio plan ya Sultani (warabu) kurudi na kumpinduwa ni kulete mfarakano wa Karume na wana mapinduzi wana Afro-Shirazi wenzake akina Mdugi Ussi na wenzake kugonganichwa vichwa.
Technique ya mara ya mipango ya Nyerere ni ufisadi wa kupika sumu ya fitna na kumpa Karume kwa kumwambia kuwa kama huja washuhulikia hawa akina Mdungi Ussi na wenzake basi kuna hatari ya kukupinduwa hawa ni Wazanzibar safi na wasomi walio bobea.
Baada ya Nyerere kufanikiwa hivyo Karume ikawa hana raha tena na watu hawa ndipo pale alipoanza kuwa sumbua na takribani wengi walikimbilia Tanganyika kutokana na kuhisi kuwa mafahamiano na Karume yamekuwa madogo.
Hawa hawakupata mapokezi mazuri kwa Nyerere ilikuwa bora ya wale Sultan(Warabu) Nyerere aliwapokea na kuwapa hifadhi kuliko hawa wana mapinduzi wana wa Afro-Shirazi na Wafrika.
Hofu ya Nyerere kwa hawa ilikuwa ni kushindwa kutimiza zima yake ya kuitawala Zanzibar kama bado watakuwa hai, ndio akaamua kupeleka fitna zakwamba hawa wana anjenda ya kukupinduwa kwa hio Nyerere akawapeleka Zanzibar na kwenda kuwawa.
Kwa hio Nyerere hakuwa na zamira nyema na Zanzibar ,mapinduzi wala Karume na Kundi lake la Afro-Shirazi.
Jee Wazanzibar tujiulize hawa akina Mdugi Ussi,Ubwa Jaha,Othani Shariff na wenzake kosa lao nini na hawa walikuwa wana mapinduzi ,Afro shirazi,Wazanzibar na Wafrika weusi jee vifo vyao mpaka leo vina utata, jee kosa lao nini?.
Mungu ibariki Zanzibar na Wazanzibar wote.