GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,119
Mwambieni Yule Meno Kuungua wenu, mla Mirungi na Mporwa Wake zake aliyeandika katika Instagram Page yake kuwa Baleke kaondoka rasmi Simba SC kuwa amerejea rasmi Tanzania na Simba SC hivyo asipende kuwa na Kiherehere.
Imeisha hiyo.....!!
Imeisha hiyo.....!!