Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,965
- 19,992
Aisee!Tume hiihii,Kama ingekuwa huru kwa kiwango Cha miaka iliyopita matokeo yangekuwa tofauti sana.nazingatia kwa aliyojili huku kwetu kusini mwa tz.
Aisee!Tume hiihii,Kama ingekuwa huru kwa kiwango Cha miaka iliyopita matokeo yangekuwa tofauti sana.nazingatia kwa aliyojili huku kwetu kusini mwa tz.
Takwimu zako mkuu? Lini visingizio "mtaviishiliza"?Kwa taarifa yako hata wapiga kura hawakufika hiyo 10m huko vituoni.
Takwimu zako mkuu? Lini visingizio "mtaviishiliza"?
Wizi wa kura ni maneno ambayo tumeyasikia tokea mfumo wa vyama vingi nchini uanze.Bila kuiba kura hakuna CCM iliyoko madarakani.
Kwa hiyo badala ya kuisifu CCM iangaze kwa ukweli wake hakisi kuwa iko haoo ilipo kwa uporaji wa maamuzi ya wananchi!
Sahihi kabisa
Mleta mada, CCM sio chama cha siasa, uchaguzi (uchafuzi) wa mwaka huu wapinzani walipambana na Tiss, polisi, jeshi, wakurugenzi, wakuu wa wilaya/mikoa
Ccm kama ccm kwenye uwanja huru ni wepesi kama karatasi
Is anyone forces you to click on my thread?Wewe ni .
Unajaza public forum your stupidity just for the sake of money
Thanks!There is some truth in this. Let's wait to see.
Ule ulikuwa udokozi.
Go back to school mataga.Is anyone force you to click on my thread?
Mawazo yangu yako sahihi!Sio maoni yaliyoenda shule, sema maoni yaliyoendana na matamanio yako.
Mawazo yangu yako sahihi!
Hakuna uchaguzi ni vita ya CCMKinachosikitisha ni kwamba Watanzania wengi hawatopiga kura tena maishani, ipo kazi kuwaaminisha tena kwamba uchaguzi ndio njia ya kupata viongozi.
Kinachosikitisha ni kwamba Watanzania wengi hawatopiga kura tena maishani, ipo kazi kuwaaminisha tena kwamba uchaguzi ndio njia ya kupata viongozi.
na huo ndio ubavu wenyewe. Baada ya vita watu huangalia ushindi na si jinsi gani ushindi ulipatikana. Tukubali tukatae CCM ndio imeshika dola na tukiendelea kuichekea itatawala mpaka vitukuu vyetu.Kama kweli CCM wanajiona wana ubavu, ilikuaje wanaiba kura kijinga tena mchana kweupe? Nadhani CCM hawana nguvu yeyote, zito amewachapa asubuhi tu na wala hawajashinda.
Uliiba wewe na sio CCM,
Huwezi shindana na mtu hana miguu kisha umwibie,
Chadema ni nyumbu ambao ukiwaonyesha mto wa maji wanatumbukia woye bila kujua urefu wa mto na mamba kiasi gani wamo.
Kama mmeibiwa basi hata nyie mngefikisha hata milioni 8 hapo ungeweza kulalama, uzidiwe milioni 10 kisha useme umeibiwa?
Nyumbu mna shida sana.