pnkuru
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 283
- 182
...safi sanahaha haha wabongo tumezoa kukrem sana secret sociaties sio freemason tu peke yake anaweza kua illluminant,skull & bones zipo nyingi sana
...safi sanahaha haha wabongo tumezoa kukrem sana secret sociaties sio freemason tu peke yake anaweza kua illluminant,skull & bones zipo nyingi sana
hapana jaribu kutafuta ukweli zaidiHio sio ofisi ya Zari ni ofisi ya WCB (Diamond)...Kuhusu swala la fuvu kuhusishwa na freemasons sidhani kama ni sahihi!!Hilo ni pambo kama mapambo mengine tu mkuu....
nakumbka hvoNikusahihishe.
Hiyo ni ofisi ya wcb sio ya zari
Ukweli kwenye nini mkuu...Matter of fact hayo ni maisha yake binafsi!!hapana jaribu kutafuta ukweli zaidi
Watakao atharika wapo. Mtego wa panya unakamata hata wasio husika.Hata akiwa freemason wewe unaathirika vipi? Wewe jali maisha yako na unachokiamini
Crystal skull huaminika kuvuta nguvubfulani za mafanikio.Ni matumaini yangu wazima kabsa wadau WA JF.
Katika pita pita yangu kwenye mitandao ya kijamii hususan instagram..nimekutana picha za mwanadada WA kiganda ambaye pia Ni shemeji yetu( Zarina Hassan) al-maarufu kama zari the boss.picha kikweli Ni nzuri Na ametokelezea sna....ila pembeni Kuna alama ya fuvu LA mtu....hii Ki ukweli sikuelewa maana ya alama hii kuwa ndani ya ofsi yake. Alama hii huwa Mara nyingi inahusishwa Na alama ya Freemason...Sasa naomba kutolewa utata hapa,kuwa Ni kweli zari the boss anawezakuwa muumin WA freemason?? View attachment 650104View attachment 650105
Hakuna lolote ni mapambo kama mapambo mengine.
Wengine hadi hujipiga tatoo mwilini.
Freemasons wapo ila siyo kama story zilizogaa mitaani hadi eti mganga toka kigoma anatoa majini na kuunga freemasons
Haya sio mapambo tu. Zipo sababu za kuwepo haya unayoyaita mapambo. Soma zaidi kuhusu crystal skull.Hio sio ofisi ya Zari ni ofisi ya WCB (Diamond)...Kuhusu swala la fuvu kuhusishwa na freemasons sidhani kama ni sahihi!!Hilo ni pambo kama mapambo mengine tu mkuu....
Binafsi mtu akiwa Freemason namchukulia kawaida sana,na anaweza hata kuwa rafiki yangu na bado hawezi nishawishi nikawa huko ,kwa sababu nafahamu yanayofanyika nyuma pazia na hizi secret societiesWatakao atharika wapo. Mtego wa panya unakamata hata wasio husika.
Nimekupata, ila wewe unaweza usiwe victim ila wengine wakawa.Binafsi mtu akiwa Freemason namchukulia kawaida sana,na anaweza hata kuwa rafiki yangu na bado hawezi nishawishi nikawa huko ,kwa sababu nafahamu yanayofanyika nyuma pazia na hizi secret societies