Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,205
- 5,334
Tunaanzia katika jamii za Wachaldeans na Wamisri ambao waliamini kuwa hapo kabla Mungu aliumba MWANGA (ikiwakilisha dunia ya malaika).
Nje ya ule mwanga wakaumbwa daraja la viumbe wasioonekana ambao wengine huwaita NYOTA, na nje ya zile nyota zikaundwa elementi nne na ndani ya elementi hizo (maji,hewa,fire na udongo) dunia inayoonekana ikaundwa.
Hivyo basi yote kwa yote baada ya kutimia kwa maumbile hayo, kila kinachoonekana au elementi huwa ndani ya Nyota zisizoonekana au elementi za kiroho, wakati Nyota ni kinyume chake katika miili yao wao ukaa ndani ya malaika na malaika ndani ya nyota; na malaika huwa ndani ya Mungu na Mungu ndani ya vyote.
Hivyo basi vyote ni Umungu katika Mungu, Umalaika katika Malaika na Umwili katika dunia ya mwili na kinyume chake kama vile mbegu ya mmea ufumbatwa, hata dunia pia ufumbatwa na Mungu.
Kulingana na alichokinena CHiram Abiff (Master Buider)
"Endapo KIKUNDI (mob) kikiongoza, basi binadamu atatawaliwa na UJINGA;
Endapo ni KANISA likiongoza, basi binadamu atatawaliwa na USHIRIKINA;
Endapo ni SERIKALI ikiongoza, basi binadamu atatawaliwa na HOFU."
Kabla binadamu ajafikiria kuishi kwa amani na maelewano, UJINGA lazima ubadilishwe katika HEKIMA.
USHIRIKINA lazima ubadilishwe kuwa katika IMANI YENYE MWANGAZA.
HOFU lazima ibadilishwe katika UPENDO.
Pamoja na kuwa kauli hizi uonekana kuenenda kinyume,
MANSONRY ni dini inayotafuta uwezekano wa kumuunganisha Mungu na Binadamu kupitia kuinua daraja la ufahamu wa utambuzi kwa namna ambayo italeta taswira ya mtazamo wenye maono yaliyokwisha kufafanua vyema kazi ya "the Great Architect of the Universe"
Ambapo katika vyote; utakatifu na elimu dunia kuhusiana na fumbo la maisha vitaruhusiwa kufundishwa (pasipo vikwazo/kificho) kwa wote watakaokubali kuenenda na filosofia hii ya maisha.
Katika hili IMANI na MAFUNDISHO YA DINI hayatokuwa na nafasi tena; mambo yasiyo na uhalisia yataondolewa na kiini tu ndicho kitakachotunzwa.
Dunia itaongozwa na mwangaza wa fikra pevu zaidi ambapo kila fikra itajitwalia nafasi nzuri zaidi inayoifaa.
Chuo kikuu kitagawanywa kwa alama(grades), admission ambazo zitakuwa zikipimwa kupitia daraja la ufahamu lililofikiwa na mlengwa (pstominary tests au unyago(initiations))
Hapa binadamu ataelekezwa katika Utakatifu mkuu(most sacred), Siri kuu (the most secret), na fumbo kuu zaidi ya yote (the most enduring of all mysteries)- SYMBOLISM (lugha ya Alama)
Hapa unyago utafundishwa kwamba kila kinachoonekana, kila chakufikirika, kila mwemko wa kihisia siyo kingine bali ni Alama ya kanuni ya umilele.
Hapa binadamu atajifunza kuwa CHiram (ukweli) uongo wake umefukiwa au kuzikwa katika kila atom ya kosmos; ya kwamba kila muundo ni alama na kila alama ni kaburi la ukweli wa milele.
Kupitia elimu- kiroho, kimwili, kimaadili na kifizikia..binadamu atajifunza kutambua ukweli wa kuishi na kuondokana na ile hali ya kutojiweza wenyewe.
Muongozo wa kidunia utafata huo muundo itapotokea mwongozo huu wa kiungu utasimikwa kufanya kazi yake kupitia namna ambavyo ulimwengu uongozwa. Katika siku hiyo ambayo agizo kamili (perfect order) litasimikwa, pamoja na amani ya ulimwengu na kwa ushindi mkubwa, binadamu atoangaika tena kutafuta furaha yake, kwa kuwa wataipata, kuwa iko ikiwaelemea ndani yao.
Matumaini yaliyokufa, matarajio yaliyokufa, malengo yaliyokufa yote yatafufuliwa kutoka katika makaburi yao na roho nzuri na uzuri ambao umekuwa ukichinjiliwa mbali na ujinga wa binadamu utakuwa tena kwa mara nyingine Master of work.
Itapotokea hivyo sages wataketi katika viti vya Bwana na miungu wataongozana na binadamu.
Itaendelea..."
Nje ya ule mwanga wakaumbwa daraja la viumbe wasioonekana ambao wengine huwaita NYOTA, na nje ya zile nyota zikaundwa elementi nne na ndani ya elementi hizo (maji,hewa,fire na udongo) dunia inayoonekana ikaundwa.
Hivyo basi yote kwa yote baada ya kutimia kwa maumbile hayo, kila kinachoonekana au elementi huwa ndani ya Nyota zisizoonekana au elementi za kiroho, wakati Nyota ni kinyume chake katika miili yao wao ukaa ndani ya malaika na malaika ndani ya nyota; na malaika huwa ndani ya Mungu na Mungu ndani ya vyote.
Hivyo basi vyote ni Umungu katika Mungu, Umalaika katika Malaika na Umwili katika dunia ya mwili na kinyume chake kama vile mbegu ya mmea ufumbatwa, hata dunia pia ufumbatwa na Mungu.
Kulingana na alichokinena CHiram Abiff (Master Buider)
"Endapo KIKUNDI (mob) kikiongoza, basi binadamu atatawaliwa na UJINGA;
Endapo ni KANISA likiongoza, basi binadamu atatawaliwa na USHIRIKINA;
Endapo ni SERIKALI ikiongoza, basi binadamu atatawaliwa na HOFU."
Kabla binadamu ajafikiria kuishi kwa amani na maelewano, UJINGA lazima ubadilishwe katika HEKIMA.
USHIRIKINA lazima ubadilishwe kuwa katika IMANI YENYE MWANGAZA.
HOFU lazima ibadilishwe katika UPENDO.
Pamoja na kuwa kauli hizi uonekana kuenenda kinyume,
MANSONRY ni dini inayotafuta uwezekano wa kumuunganisha Mungu na Binadamu kupitia kuinua daraja la ufahamu wa utambuzi kwa namna ambayo italeta taswira ya mtazamo wenye maono yaliyokwisha kufafanua vyema kazi ya "the Great Architect of the Universe"
Ambapo katika vyote; utakatifu na elimu dunia kuhusiana na fumbo la maisha vitaruhusiwa kufundishwa (pasipo vikwazo/kificho) kwa wote watakaokubali kuenenda na filosofia hii ya maisha.
Katika hili IMANI na MAFUNDISHO YA DINI hayatokuwa na nafasi tena; mambo yasiyo na uhalisia yataondolewa na kiini tu ndicho kitakachotunzwa.
Dunia itaongozwa na mwangaza wa fikra pevu zaidi ambapo kila fikra itajitwalia nafasi nzuri zaidi inayoifaa.
Chuo kikuu kitagawanywa kwa alama(grades), admission ambazo zitakuwa zikipimwa kupitia daraja la ufahamu lililofikiwa na mlengwa (pstominary tests au unyago(initiations))
Hapa binadamu ataelekezwa katika Utakatifu mkuu(most sacred), Siri kuu (the most secret), na fumbo kuu zaidi ya yote (the most enduring of all mysteries)- SYMBOLISM (lugha ya Alama)
Hapa unyago utafundishwa kwamba kila kinachoonekana, kila chakufikirika, kila mwemko wa kihisia siyo kingine bali ni Alama ya kanuni ya umilele.
Hapa binadamu atajifunza kuwa CHiram (ukweli) uongo wake umefukiwa au kuzikwa katika kila atom ya kosmos; ya kwamba kila muundo ni alama na kila alama ni kaburi la ukweli wa milele.
Kupitia elimu- kiroho, kimwili, kimaadili na kifizikia..binadamu atajifunza kutambua ukweli wa kuishi na kuondokana na ile hali ya kutojiweza wenyewe.
Muongozo wa kidunia utafata huo muundo itapotokea mwongozo huu wa kiungu utasimikwa kufanya kazi yake kupitia namna ambavyo ulimwengu uongozwa. Katika siku hiyo ambayo agizo kamili (perfect order) litasimikwa, pamoja na amani ya ulimwengu na kwa ushindi mkubwa, binadamu atoangaika tena kutafuta furaha yake, kwa kuwa wataipata, kuwa iko ikiwaelemea ndani yao.
Matumaini yaliyokufa, matarajio yaliyokufa, malengo yaliyokufa yote yatafufuliwa kutoka katika makaburi yao na roho nzuri na uzuri ambao umekuwa ukichinjiliwa mbali na ujinga wa binadamu utakuwa tena kwa mara nyingine Master of work.
Itapotokea hivyo sages wataketi katika viti vya Bwana na miungu wataongozana na binadamu.
Itaendelea..."