Je, Zanzibar ni koloni la Tanganyika?

Je, Zanzibar ni koloni la Tanganyika?

tushasema hatutaki moja, mbili, wala tatu ni mamlaka kamili jitieni uziwi ila mwaka huu ndo mwisho wa ukoloni wa Tanganyika ZANZIBAR KWANZA porojo hazitutishi na kwa kuanzia hizo tatu zinatosha coz hicho ndo kifo cha ccm mlinzi wa muungano

sidhani kama kuna kiziwi hapa. watu wote tunasikia vizuri kabsaaa, na kinachosubiriwa ni kuona siku vibaragashia na viswahili virefu vinapungua hapa. neno sahihi siyo kuwatisheni. neno sahihi ni kuwafukuzeni. hatukuwafuata. mlitufuata matapeli nyie. kasome historia vizuri. ondokeni bara!
 
tanzania balaaa mnashida nyie! mnapritend kua wakoloni but mumeshindwa kuidhibiti zanzibar mpk leo, hamueleweki. tanzania balaaaa/tanganyika
 
Hivi watanganyika hamjiulizi ni kwanini nyerere ilimshinda kuimeza z'br wakati huo ambapo waz'br walikuwa laki 3 tu?kuimeza zanzibr ni ngumu ni sawa kuambiwa umeze mkuki,watanganyika wa sasa hamtoweza kuimeza z'br kwa sababu tayari wazbr wa leo wamejielewa,wamesoma,uzalendo zidi ya taifa lao umewajaa.
Jamani waacheni Wazenji waende zao. Mnawaang'ang'ajia wa nini?


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
hivi mzanzibari akitaka uoman nyie watanganyika unawahusu nini?
huku tanganyika kuna mijitu mijinga kwelikweli. fitna tuuuu haituhusu
watakavyo ungana si nchi yao
mijinga mijitu ya huku mnalazimisha kuungana na wao
hawataki dah!
Tanganyika hawataelewa mpaka sumu ya nyerere iwatoke. na haitawatoka mpaka wajue kua sasa wao ndio wakati wao.
lakini wapi- VICHWA MCHUNGWA
 
Unajua mm kila cku najiuliza nchi hii wangepewa cuf ingekuwaje........nimeshasikiliza hali halisi ya lipumba pale msikktini kariakoo nikiunganisha na mawazo ya maalim seif basi sipati picha ya hali ya nchi iwapo cug wakapewa nchi.
 
hivi mzanzibari akitaka uoman nyie watanganyika unawahusu nini?
huku tanganyika kuna mijitu mijinga kwelikweli. fitna tuuuu haituhusu
watakavyo ungana si nchi yao
mijinga mijitu ya huku mnalazimisha kuungana na wao
hawataki dah!
Tanganyika hawataelewa mpaka sumu ya nyerere iwatoke. na haitawatoka mpaka wajue kua sasa wao ndio wakati wao.
lakini wapi- VICHWA MCHUNGWA

WACHA KELELE WEWEEEEEEEEE......LAZIMA UOLEWE NA SISI. WE UNATA KUOLEWA NA MWARABU HUOGOPI? Yaani unajifanya huelewi ndoa za kiarabu
 
Maoni yangu naunga mkono serikali.moja au muungano uvunjike. Ila kwenye hilo la pili lazima wazanzibar watuhakikishie kuwa hawatatusumbua kuimba hifadhi ya ukimbizi. Bado sioni kinachoweza kuwaunganisha wapemba na waunguja.....watachinjana km kuku
 
sidhani kama kuna kiziwi hapa. watu wote tunasikia vizuri kabsaaa, na kinachosubiriwa ni kuona siku vibaragashia na viswahili virefu vinapungua hapa. neno sahihi siyo kuwatisheni. neno sahihi ni kuwafukuzeni. hatukuwafuata. mlitufuata natapeli nyie. kasome historia vizuri. ondokeni bara!

Porojo hizi wapelekee wale waabudu Nyerere wenzio, wao ndio walioapa kuulinda Muungano kwa ghrarama zote. Sasa kama unataka kuelewa historia ya TZ, Mungu wako Nyerere ndio alievuka bahari kwenda Zanzibar kuomba Muungano. Vile vile waambie wale wauza ngono waondoke znz .
 
mkuu Mwankuga! Umeongea zaidi hisia zako, sio reality! wazanzibari karibu woote hawautaki huu muungano, kabisa! hata viongozi wao tena hata wa CCM! wanausupport kiunafiki tuu na kimaslahi, hawautaki kabisa, kwa upande wa watanganyika, wengi wetu tunaona either uwepo, usiwepo hatujali thou watafiti na wasomi wengi hatuutaki kwa kuzingatia masuala ya uchumi na kijamii, mfano ni malalamiko ya tarrif za tanesco na ajira n.k.

Hata hizo serikali tatu kwa sisi wengine wenye upeo kidogo hatuutaki! Utaleta matatizo siku za mbeleni!
 
mjinga huyo. ulisikiaga wapi kuna muungano wa pemba na unguja? nyerere unaekichwani hakutoki ng'o
wakikuskiaga wenyewe watakufanya shoga
singua kaya
 
hadi sasa toka nizaliwe labda hadi nitazeeka sijawahi kuona faida ywyote inayoipata tanganyika kwa kuungana na zanzibar...maana hamna chochote kule si madini wala ardhi
 
Maoni yangu naunga mkono serikali.moja au muungano uvunjike. Ila kwenye hilo la pili lazima wazanzibar watuhakikishie kuwa hawatatusumbua kuimba hifadhi ya ukimbizi. Bado sioni kinachoweza kuwaunganisha wapemba na waunguja.....watachinjana km kuku

Mimi naona mtaanza kutafunana nyinyi wenyewe kama wanyama pori kwa udini mlio nao...Mlileta fitna znz ili muuendelee kuwatawala wa znz lakini , kila lenye mwanzo lazima liwe na mwisho , sasa fitna itawatafuna wenyewe .
 
Mkitaka msitake Tanganyika ni wakoloni weusi!!!
Habari ndio hiyoo!!
ZANZIBAR KWANZA SHENGESHA BAADAE!!!!
 
wakoloni ni wanyonyaji but je tanganyika tunawanyonya maliasiri or kitu gani wazanzibar?
 
WACHA KELELE WEWEEEEEEEEE......LAZIMA UOLEWE NA SISI. WE UNATA KUOLEWA NA MWARABU HUOGOPI? Yaani unajifanya huelewi ndoa za kiarabu
Mkuu ubuheri? vipi tena mkuu waarabu unawaingizia nini humu? haya mambo ya koloni ya Tanganyika naZenji. Vipi unakurupuka Oooh waaalabu sijui wakuoe au ndoa zao!! HAO WAALABU WALISHONDOKAGA ZAMANI wazanzibari wanajinasua sasa wapeni talaka yao au tukae nao kwa kungangania muungano kwa ubavu! Mkuu wee mezea tu hakuna noma!!
 
Naisubiri kwa hamu siku ya rasimu ya katiba ya tanganyika bara ikitoka.
 
Back
Top Bottom