kama ni kweli watanganyika wanapenda umoja kwa nn JK ASIENDE nairobi kuomba muungano wa kisiasa,au uganda si mliwasaidia kumuondoa idd amin kaunganeni nao maana mnafanana mpaka tabia au malawi ili muondoshe mzozo wa mpaka mlisha peleka majeshi mpakani eti mtapigana kulinda ziwa tu maji maji maji mnataka kuwa ndugu zenu....basi unganeni na msumbiji wao wana wamakonde na nyinyi mnao tatizo liko wapi...kenya,uganda,burundi, rwanda walitaka kuwe na jeshi la EAC na ardhi iwe EAC peke yenu mkakataaaa wanafiki wakubwa .
nguvu na akili zenu kwa visiwa vidongo vya bahari ya hindi ZANZIBAR huku mnataka serekali moja hamkuaza nyinyi kuvipenda visiwa hivi walikuja wareno,wajerumani hawakuweza kuingia,waingereza mwisho wakaviachia huru, warabu wa omani wakahamishia makao makuu znz wao walisha pafanya kwao tukawatoa kwa nguvu sasa zamu ya tanganyika game is over wajomba wakoloni weusi.wakoloni weupe.
itakuwa kosa kubwa tanganyika ikitumia nguvu kulazimisha muungano na znz ...