Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,972
- 3,513
Ndio mkuu wanajijua, kila sehemu wapo
Hiyo taarifa hutakaa uipate mkuu.Inakera sana ,mm sitaoa mwanamke yoyote aliye toka chuoni kama sina taarifa zake za kutosha, ,bora yule aliye chapwa siku moja moja kuliko yule aliye ishi na njemba kabisa
Ndo maana mabinti wanamaliza elimu zao wanakosa Watu wa kuishi nao
Bro kwani si namimi ni mwana familia pia ni jirani wa familia nyingine pia ni rafiki wafamilia nyingine...nakosaje kuyajua hayo! Swali lako ni level ya chini mno...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha huu ni upotoshaji, kijana aliyeko chuo kikuu ni mtu mzima sio mtoto. Akimaliza chuo harudi nyumbani kuishi ile ni kuaga kwenda zake kuanza maisha. Hivyo kuishi na mke au mume ni utayari wa kujiandaa aendako baada ya chuo.
Hapa wazazi hawahusiki kwa lolote na kwa namna yoyote.
Najua yanayofanyika. Kuna wengine huwa hawataki kurudi vijijini nk. Ila ukitumia nguvu bila maarifa ndiyo mtamkosa kabisaa.Unadhani anakubali kumpeleka MTU, ni kweli mtu akimaliza chuo ni mtu mzima kimaamuzi lakini binti wa miaka 23 hataki kuwaambia ndugu zake na familia shughuli inayomuweka mjini Kama mzazi inauma subiri uwe mzazi mtoto wako afikie stage hii ndio utajua maharage ni mboga au futari!!!!!
Wanaume inabidi washiriki sana kwenye maisha ya mabinti zao,wanapokuwa vyuoni,hakikisha unamuwezesha kifedha ili ukata usimlzimishe kutengeneza ndoa hewa.Habari zenu wana JF,
Leo nimeona nilete bandiko lenye kichwa hiko cha habari hapo juu...
Kwa kuanza napenda kueleza kuwa binafsi nimebahatika kusoma katika taasisi tofauti za elimu ya juu na katika mikoa tofauti... nikimaanisha College kwa ajili ya diploma na University kwa ajili ya bachelor degree katika mikoa miwili tofauti...
Katika mazingira hayo nimeshuhudia mabinti kwa asilimia kubwa wakifanya mambo ya kusikitisha katika miaka yao yote vyuoni...binti ambae akiwa nyumbani hataki kusaidia kazi ndogo ndogo za nyumbani, basi akiwa chuoni anakaa chumba kimoja kama mume na mke na kijana wa kiume au hata mtu mzima kwa miaka yote anapokua chuo
Zaidi ya hapo anafanya kazi zote za hapo getoni...anapika anafua nguo zake na za mumewe, anafanya usafi wa geto lakini pia anatoa unyumba kila siku kwa sababu wanalala kitanda kimoja!
Bahati mbaya binti akiwa nyumbani hafanyi na hataki hata kuosha kikombe chake alichonywea chai yeye mwenyewe....na hii ni asilimia kubwa sana ya mabinti wanaishi hivi wakiwa vyuoni.
Wazazi tafakarini na muongee na watoto zenu wakike wanaosoma chuo mjue uhalisia wa maisha yao wanapokua vyuoni.
NB: Kila nikiwaza hivi napata jawabu kwanini ndoa zimekua ngumu sana siku hizi. Mabinti wamekuwa wakianza maisha ya ndoa kabla ya muda wake hvyo wanapata experience ambayo ni ya uongo kuhusu ndoa...na hili ni tatizo. Zaidi ni kiasi cha mimba ambazo mabinti wanazitoa katika kipindi cha miaka ya chuo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sawaNajua yanayofanyika. Kuna wengine huwa hawataki kurudi vijijini nk. Ila ukitumia nguvu bila maarifa ndiyo mtamkosa kabisaa.
Maranyingi niko maeneo ya karibu na moja ya hostel za hapa dar. Unakuta likizo ndefu mabinti kati ya 4-8 wanakaa chumba kimoja kwa miezi zaidi ya mitano hawarudi kwao hili ni tatizo. Wengine wanahangaika kupata nafasi za field hukuhuku ili wasirudi ma kwao.
Mkitumia nguvu hamumpati huyo ashajua kutafuta pesa...tena akihisi nyumbani mlikuwa mnamtesatesa ndo kabisaa....tumien i maarifa zaidi ya command
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Hahaha wap unaishi mkuu me niko hapo piaMi nasoma tu michango yenu. Nipo jirani kabisa na chuo cha Uhasibu Kurasini. Ninayoyaona hapo! Eeeeeh