Sio kila hatua ni ya kupiga mkuu!kuna wakati unapaswa usimame kwa utulivu,na upige hatua wakati sahihi unapofika.Wake zenu au nyie hamkupitia chuo? Mlifanya huo uchafu au mlikuwa malaika. Maisha yana hatua, mbaya zaidi ukiruka hatua za awali.
Kwa taarifa yako mwenye kujichunga zaidi anatakiwa awe mwanamke na si mwanamme.Wake zenu au nyie hamkupitia chuo? Mlifanya huo uchafu au mlikuwa malaika. Maisha yana hatua, mbaya zaidi ukiruka hatua za awali.
Na ukifuatilia vizur asilimia kubwa ya walioishi magetoni wametoa mimba nyingi sana, so dhambi ya uuwaji inawatafuna hadi kufa.
Aisee mimba nyingi sana zimetolewa magetoni...Na ukifuatilia vizur asilimia kubwa ya walioishi magetoni wametoa mimba nyingi sana, so dhambi ya uuwaji inawatafuna hadi kufa.
Hata Sisi wanaume tunaooa wanawake waliopitia chuo tunatakiwa tuwafanyie vetting za kuanzia alikoanzia chuo mpaka kumaliza otherwise tutaoa wake za watu na waliotoa mimba.
Hee hee leo kumekuchaHalafu wakimaliza chuo kila mmoja anakwenda kivyake .Mwanamke anakuja kwako umuowe akati alisha ishi miaka 3 na njemba ndani
Kuna haja kubwa sana ya wazazi kuwafuatilia watoto wao wawapo chuoni
Saa nyingine kwenye maisha unapokosa mtu wa kukukemea inakuwa tabu sana ,,pia unapo toka kwenye imaya ya kukemewa na haujakomaa vizuri kiakili ,inakuwa pia tabu sana
Agiza Pepsi naja kulipaBro kwani si namimi ni mwana familia pia ni jirani wa familia nyingine pia ni rafiki wafamilia nyingine...nakosaje kuyajua hayo! Swali lako ni level ya chini mno...
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaahaUtashangaa unaoa mtoto katokea chuo,kama kafanya kitu kibaya ukamuwashia mziki utasikia,mbona wanaune wenzako hawako/hawafanyi hivyo?unabaki kujiuliza huyu kajuaje haya mambo...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza Hints....teremsha aisee ... wazazi wakipita hapa wapate ya kujifunzaMtoa mada uliyoeleza ni machache sana kwa watoto wanaosoma vyuoni. Yanayofanyika huko yanatisha na kutia kinyaa. Hatuna budi kuwaombea hawa watoto wetu...
Dah !!Na ukifuatilia vizur asilimia kubwa ya walioishi magetoni wametoa mimba nyingi sana, so dhambi ya uuwaji inawatafuna hadi kufa.
Mtu yeyote aliyefika chuo ni mtu mzima tayari!sasa unampa vipi mzazi majukumu mazito kama hayo ya kumchunga mtu mzima mwenzake!?wewe mtoa mada unajua mkeo huwa anafanya nini pindi wewe unapoondoka nyumbani!?acheni kutupatia kazi ya kulinda bahari ebo!Habari zenu wana JF,
Leo nimeona nilete bandiko lenye kichwa hiko cha habari hapo juu...
Kwa kuanza napenda kueleza kuwa binafsi nimebahatika kusoma katika taasisi tofauti za elimu ya juu na katika mikoa tofauti... nikimaanisha College kwa ajili ya diploma na University kwa ajili ya bachelor degree katika mikoa miwili tofauti...
Katika mazingira hayo nimeshuhudia mabinti kwa asilimia kubwa wakifanya mambo ya kusikitisha katika miaka yao yote vyuoni...binti ambae akiwa nyumbani hataki kusaidia kazi ndogo ndogo za nyumbani, basi akiwa chuoni anakaa chumba kimoja kama mume na mke na kijana wa kiume au hata mtu mzima kwa miaka yote anapokua chuo
Zaidi ya hapo anafanya kazi zote za hapo getoni...anapika anafua nguo zake na za mumewe, anafanya usafi wa geto lakini pia anatoa unyumba kila siku kwa sababu wanalala kitanda kimoja!
Bahati mbaya binti akiwa nyumbani hafanyi na hataki hata kuosha kikombe chake alichonywea chai yeye mwenyewe....na hii ni asilimia kubwa sana ya mabinti wanaishi hivi wakiwa vyuoni.
Wazazi tafakarini na muongee na watoto zenu wakike wanaosoma chuo mjue uhalisia wa maisha yao wanapokua vyuoni.
NB: Kila nikiwaza hivi napata jawabu kwanini ndoa zimekua ngumu sana siku hizi. Mabinti wamekuwa wakianza maisha ya ndoa kabla ya muda wake hvyo wanapata experience ambayo ni ya uongo kuhusu ndoa...na hili ni tatizo. Zaidi ni kiasi cha mimba ambazo mabinti wanazitoa katika kipindi cha miaka ya chuo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali vifanye hivyo kuliko kukonkiwa wallah......Sidhani wanajua pia kuwa vidume vyao vinajifanyaga faza house vikiwepo chuo. Vinafikia hadi kuhama hostel na kuingia kitaa ambako wanaishi kabisa na watoto wa watu na kuwapachika hadi mimba.
Ipo haja ya wazazi kujihususha zaidi na maisha ya watoto wao.
Hizo taarifa za kutosha utazipata wapi?Inakera sana ,mm sitaoa mwanamke yoyote aliye toka chuoni kama sina taarifa zake za kutosha, ,bora yule aliye chapwa siku moja moja kuliko yule aliye ishi na njemba kabisa
Ndo maana mabinti wanamaliza elimu zao wanakosa Watu wa kuishi nao
Mkuu yani vyuo ni tatzo skuiz! Nina ushahidi mtoto wa mchungaji ambae ni family friend alilipia hostel akija tembelewa na ndugu zake wanamkuta hostel ila muda wote hua anaishi kwa mshikaji kama mke na mume.Wengine wanapokuwa vyuoni hujifunza michezo ya kurudi nyuma a.k.a tigo na wanatoka kwenye familia za kidini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu mujarabu kabisaMtu yeyote aliyefika chuo ni mtu mzima tayari!sasa unampa vipi mzazi majukumu mazito kama hayo ya kumchunga mtu mzima mwenzake!?wewe mtoa mada unajua mkeo huwa anafanya nini pindi wewe unapoondoka nyumbani!?acheni kutupatia kazi ya kulinda bahari ebo!
Poor mind
Sent by Diaspora