Yomakon
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 638
- 679
Habari za mda huu wapendwa, tumaini kila mmoja Ni mzima wa afya pamoja na mapambano ya Corona.
Niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi huu. Tanzania tumejaliwa kuwa na watu maarufu ambao kiupande Fulani wanauwezo wa kipesa yaani Uchumi mkubwa Kama vile:
Kwa upande wa wasanii:
Diamond platinumz
Alikiba
AY
Harmonize
Mwana FA
SUGU
Professor Jay
Na wengine wengi
Na kwaupande wa wafanyabiashara wakubwa Kuna watu Ni Muhimu katika Vita ya kupambana dhidi ya Corona ambao ni:
Mo
Bakheresa
Rostam
Mbwana Samatta
Michango yao watu hawa Ni Muhimu Sana kwa wakati huu wakati was mapambano dhidi ya Corona sababu kwa asilimia kubwa wanategemea watu wa Hali ya chini ili waweze kufanikisha mambo yao, kukaa kwao kimya moja kwa moja inaonyesha tabia ya Choyo ...
Powerd by Mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi huu. Tanzania tumejaliwa kuwa na watu maarufu ambao kiupande Fulani wanauwezo wa kipesa yaani Uchumi mkubwa Kama vile:
Kwa upande wa wasanii:
Diamond platinumz
Alikiba
AY
Harmonize
Mwana FA
SUGU
Professor Jay
Na wengine wengi
Na kwaupande wa wafanyabiashara wakubwa Kuna watu Ni Muhimu katika Vita ya kupambana dhidi ya Corona ambao ni:
Mo
Bakheresa
Rostam
Mbwana Samatta
Michango yao watu hawa Ni Muhimu Sana kwa wakati huu wakati was mapambano dhidi ya Corona sababu kwa asilimia kubwa wanategemea watu wa Hali ya chini ili waweze kufanikisha mambo yao, kukaa kwao kimya moja kwa moja inaonyesha tabia ya Choyo ...
Powerd by Mimi
Sent using Jamii Forums mobile app