omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,444
- 2,702
Habari wanajf,
Nilifuatilia mlolongo wa matukio ya mji wa Dar es Salaam kupitia mvua kubwa zilizonyesha tarehe 21 December 2011 ambapo kiukweli maafa makubwa ya watu wengi kupoteza maisha yalitokea.
Serikali ilichukua hatua na kuwapimia viwanja wenye nyumba na wapangaji vya bure kule Mabwepande na kuweka huduma za msingi japo hazikuwa nzuri kihivyo.
Kilichotokea baada ya hapo ni baadhi yao kuvikataa ili waendelee kuishi 'karibu na mjini'.
Sasa hiki kilio wanamlilia Mungu, Serikali, ccm, cdm ....
nawasilisha.
Nilifuatilia mlolongo wa matukio ya mji wa Dar es Salaam kupitia mvua kubwa zilizonyesha tarehe 21 December 2011 ambapo kiukweli maafa makubwa ya watu wengi kupoteza maisha yalitokea.
Serikali ilichukua hatua na kuwapimia viwanja wenye nyumba na wapangaji vya bure kule Mabwepande na kuweka huduma za msingi japo hazikuwa nzuri kihivyo.
Kilichotokea baada ya hapo ni baadhi yao kuvikataa ili waendelee kuishi 'karibu na mjini'.
Sasa hiki kilio wanamlilia Mungu, Serikali, ccm, cdm ....
nawasilisha.