Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
Hahaha...haya bana aa ila muhimu kupiga kazi na kutafuta maisha popote
kuanza moja kugumu watu8
we acha tu!
Last edited by a moderator:
Hahaha...haya bana aa ila muhimu kupiga kazi na kutafuta maisha popote
Baada ya serikali kuwalipa kwanini haikuzibomoa hizo nyumba. Kwani hao viongozi wa serikali huwa hawawaoni hao watu wakiwa bado wanaishi hapo bondeni. Kwanini haikuwashitaki kwa kosa la kula hela ya serikali na kuendelea kuishi hapo?Hapana, hawa hawana haki ya kulia kwani hapa ni Jangwani (Dar Es Salaam), na hawa watu walishalipwa pesa zao za kuhama hii sehemu siku nyingi sana. Wengi wao walikula tu pesa kufkiri ni za msaada wa kuishi pale Jangwani na wengine wenye akili na kutihi amri walihama. Hawa kimekula kwao.
Ni kugumu ndio lakini wapo walioanzia hapo na sasa hawapo kwenye moja tena.
Maisha ni kupanga na kuchagua vile unataka yawe, ukiridhika namna unavyoishi basi hakika utaishia hapo hapo.
Mkuu iyo avatar yako hako kamdudu kanapendezaje..!maisha bora kwa kila mchina aah smahani kwa kila mtanzania.
mi natamani wangesombwa na maji kabisa!!umasikini gani hapo ni kibri ndo kinawasumbua!!serikali imewapa viwanja mabwepande tena vilivyo pimwa!!na juzi mheshimiwa rais alionyesha dhamila yake ya kuwapatia mifuko 100 ya cement ili kuwasaidia kujenga,wao wameviacha viwanja hivyo wanajirudisha town!!!siwahurumii
pole yake!!umeona alipokumbuka kushika!!!!kwa kweli nimemhurumia huyo mama. She seems to be helpless!
well,huenda kweli,lakini kwanini asubiri hali hiyo ndo atoe kauli hiyo??angesema kabla ili jamii imsikie mapema na huenda angepata msaada wa kufuatilia ili kuona haki inachukua nafasi yake!!jana mmoja wa waathirika alisema kuna kujuana wengine walikosa! I am not sure to what extent is that statement true anyway!
pole yake!!umeona alipokumbuka kushika!!!!
ha ha ha ha!!umenikumbusha mabomu ya gongolamboto!mother alikuwa na siku mbili!!alikimbiaje na ubonge wake!!!!!hadi leo kwangu amesema hadi nihame gongolamboto!Jamani amekusanya tu nguo zake ili aweze kutembea kwenye maji. Kwa kweli anatia huruma sana. Hapo ndio mama kaja mjini kumtembelea mwanae! Duh, hatokaa asahau!
Wewe kafiri mpenda haramu embu toa avata yako hiyo. Unatutoa kwenye udhu hapa. Umesikia wewe kitimotomaisha bora kwa kila mchina aah smahani kwa kila mtanzania.
Baada ya serikali kuwalipa kwanini haikuzibomoa hizo nyumba. Kwani hao viongozi wa serikali huwa hawawaoni hao watu wakiwa bado wanaishi hapo bondeni. Kwanini haikuwashitaki kwa kosa la kula hela ya serikali na kuendelea kuishi hapo?
na ndipo unaweza kuona 'picha kubwa'. Kuwa wananchi wanakosea na serikali inaendeleza makosa hayo hayo. wale wanaosema kizungu wanasemage 'two wrongs don't make it right'.Baada ya serikali kuwalipa kwanini haikuzibomoa hizo nyumba. Kwani hao viongozi wa serikali huwa hawawaoni hao watu wakiwa bado wanaishi hapo bondeni. Kwanini haikuwashitaki kwa kosa la kula hela ya serikali na kuendelea kuishi hapo?
kwa suala la serikali nadhani kuna wazo ambalo ni gumu sana lakini ndio njia pekee ya kutokea nayo ni KUANZA NA MOJA!Ha Ha Ha nacheka sana kuona serikali inajitekenya yanyewe alafu inacheka yenyewe. Embu waulizeni hao wa mabondeni, nguzo za umeme zimawafikia, ofisi za serikali za mitaa zipo. Serikali ikitoa huduma muhimu zote, hawa wabishi watahama tu.
Habari wanajf,
Nilifuatilia mlolongo wa matukio ya mji wa Dar es Salaam kupitia mvua kubwa zilizonyesha tarehe 21 December 2011 ambapo kiukweli maafa makubwa ya watu wengi kupoteza maisha yalitokea.
Serikali ilichukua hatua na kuwapimia viwanja wenye nyumba na wapangaji vya bure kule Mabwepande na kuweka huduma za msingi japo hazikuwa nzuri kihivyo.
Kilichotokea baada ya hapo ni baadhi yao kuvikataa ili waendelee kuishi 'karibu na mjini'.
Sasa hiki kilio wanamlilia Mungu, Serikali, ccm, cdm ....
View attachment 88114View attachment 88115nawasilisha.
That is CCM, si ajabu wanawaacha pale kwa kuhofia kukosa kura zao. Ukishakuwa na kiongozi anayejali kuendelea kutawala tu despite what goes along with the people, ujue unaongozwa na maiti. Na huko ndiko tuliko watanzania.na ndipo unaweza kuona 'picha kubwa'. Kuwa wananchi wanakosea na serikali inaendeleza makosa hayo hayo. wale wanaosema kizungu wanasemage 'two wrongs don't make it right'.
Matakeo yake tunaitwa a failed nation japo mimi naona sisi ni 'a confused nation'
Baada ya serikali kuwalipa kwanini haikuzibomoa hizo nyumba. Kwani hao viongozi wa serikali huwa hawawaoni hao watu wakiwa bado wanaishi hapo bondeni. Kwanini haikuwashitaki kwa kosa la kula hela ya serikali na kuendelea kuishi hapo?