Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,336
- 4,161
Ulikuwapo kwenye ufunguzi wa kampeini za UKAWA wewe? Huyo hapo ni nani
Kikubwa hapa tugawane mbao!!
Kisa cha Roma mpaka leo hakijulikani hadharani ila hiyo pia haizuii kupambana!!
Vyama pinzani Tz uwanja uko huru tangazeni dau kwa wasanii mnaowahitaji! Wakikataa basi jibu mtakua nalo na wakikubali twenzetu!!
Jibu la mjinga kwenye ufahamu ni vitendo + ukimya!! Mengine chokochoko!