Je? wasanii wa muziki wanajiibia wenyewe?
kwa muda sasa kumekuwa na manung"uniko kuhusu wasanii wa muziki katika mauzo ya call ring tone back. Mi nashindwa kuelewa je hawa wasann huwa wana sainiwa mikataba bila kuielewa au hawa hata uwezo wa kupiga hesab ndogo kujua kama wanapata faida au wanajifanya kutojua nn maana ya mikataba. Maana malalamiko yamekuwa mengi. kwamb wanaibiwa lakin je mbona bado wengine wanaendelea kusain huo wanao uita wizi,?
kwa muda sasa kumekuwa na manung"uniko kuhusu wasanii wa muziki katika mauzo ya call ring tone back. Mi nashindwa kuelewa je hawa wasann huwa wana sainiwa mikataba bila kuielewa au hawa hata uwezo wa kupiga hesab ndogo kujua kama wanapata faida au wanajifanya kutojua nn maana ya mikataba. Maana malalamiko yamekuwa mengi. kwamb wanaibiwa lakin je mbona bado wengine wanaendelea kusain huo wanao uita wizi,?