Je, wapinzani kuleta Katiba mpya?

Baba jayaron

JF-Expert Member
Jun 29, 2015
4,007
5,446
Wasalamu,

Hili swali najiuliza hivi huu utamu wa madaraka, na kujihisi upo mbinguni (Kinga), ukiamua unarithisha Watoto, vimada na wapambe wako, wengine hadi Waganga wao?

Ukweli Kwa mama yetu sioni dalili maana CCM itamkaba kooni atajuta kuzaliwa.

Je, Kweli Zitto Kabwe, Mbowe, Tundu Lissu & company wataweza kweli kutuletea katiba mpya wakipata madaraka?
 
KATIBA MPYA:

KATIBA mpya ni Muhimu lakini sio ya kuandikwa na kuimbe kilichoumbwa. Muumbaji ndiye atuandikie KATIBA na Alishaiandika.

Rejea Ufunuo 5/1, 6, 12~ibara (mihuri saba)-
Ibara ya kwanza......UWEZA
Ibara ya pili...............UTAJIRI
Ibara ya tatu.............HEKIMA
Ibara ya nne..............NGUVU
Ibara ya tano.............HESHIMA
Ibara ya sita...............UTUKUFU na
Ibara ya saba.............BARAKA

IBARA HIZI SABA ZIKAPANGWA VYEMA KWA UFAFANUZI MPANA NA KUHIFADHIWA KWENYE QUR'ANI SURA YA USHINDI (1:1-7).

EEEH WATU WEUSI, TUNATAKIWA KUWAZA KWA UTULIVU MKUBWA. TUKO MBALI SANA UKWELI. KWA HIYO TUNATAKIWA KUANZA KUSOMA HERUFI KWA KIDOLE.

OMBI KWA RAISAT SAMIA: SALAMU YETU ILI INOGE, ISOME "Kwa jina LA Mola wa jamhuri ya muungano wa Tanzania...... Kazi inaendelea". Mungu kesha Kubariki, bado anakuangalia, akupe utukufu, heshima, nguvu, hekima, utajiri na uweza?

Dunia yetu hii ni NIPE nikupe!

.... aiwaah!!!
 
Kwa jina la MOLA wa JMT, demokrasia asili tuione ili tuamini.

1. UPINZANI NI KERO/USHINDANI RUHSA:

1- Mbona wazungu marikani na ulaya hawana vyama pinzani.
2- Wao wana vyama shindani.
3- Kwa hiyo sio Tundu, au Kabwe wawe na jipya. Hapana.

Hii ni kwa sababu mfumo wa vyama vingi PINZANI (DEMOKRASIA) umeghushiwa.

2. DEMOKRASIA-

1- DEMOKRASIA asili [ki Mkwawa/ Abraham Lincon] ni mfumo wa utawala wa watu wenye nguzo msingi tatu-
a) Utawala wa watu
b) Kwa ajili ya watu na
c) Ukisimamiwa na watu wenyewe.

2-DEMOKRASIA UN NEW YORK ni mfumo ghushi wenye kuhalalisha-
a) biashara huria
b) ulawiti
c) uhuru wa ngono
d) uhuru wa vitabu vitakatifu {magazeti} vipya vipya vya kila kukicha,
e) uhuru wa kusema utakavyo hata kama unaudhi wengine kwa lengo LA wazungu kufanikisha agenda zao za wizi wa Mali zetu na utajiri wetu,
f) hali za watoto
g) hali za wanawake n.k;
Uuuh! Ni vigumu kudhani awe Tundu au nani, aweze kuja na Katiba yenye AKILI.


HATA ivyo, mbona mtu tunaye RAISAT SAMIA kaelekeza MALEZI TUYAENZI.

3. UONI:

Kwa miaka hii minne ijayo, tulicho nacho mkononi ni Samia Suluhu Hasani. Naye kaja na MALEZI. Tugange hili. Kuwazia Utundu au Ukabwe kwa kipindi hiki ni ndoto, uwazimu au ukichaa. Kwa lugha ya kimaandiko ni kupuliza UPEPO.

3.1 MALEZI, kwa kuanzia tuyagawe sehemu mbili-

1- historia yetu kuandikwa upya.

Ni aibu manyani 300 na zaidi Bungeni, yakisimamiwa na likuu lao Mgogo na msaidizi wake jike Mnyakyusa na Mwenyekiti wao Mwiilala; eeee! Ndio wasomi wetu, hawajakana tulivyo fundishwa shuleni kuwa sisi ni UZAO WA MANYANI. Na mkuu wa serikali bungeni anashiriki oldvai goji kuthibitisha hilo, jamani!!!!

Je manyani wanahitaji maendeleo au si mahindi tu ya njano, chakula ulaya cha ng'ombe YANATOSHA?

Sisi sio Manyani. Ndungai asimame bungeni, akane unyani tuliovikwa kwa makusudi na wakoloni wetu. Ndio amwachie Tulia atulize boll, ANAWEZA. Na m/kiti ZUNGU aje kukamilisha umbile letu, kuwa sisi ni watu wa Mungu ~ILALA (ila llah)

#Something kifanyike- ile mihuri saba: ufu 5:12
UWEZA
UTAJIRI
HEKIMA
NGUVU
HESHIMA
UTUKUFU NBARAKA,
Idadavuliwe (tupo), wana wa Mama Mweusi tuchukue nafsi yetu Leo duniani kuwashauri Wamarikani, Warusi na Wachina kuwa - hii njia iko huku.......

2- ELIMU YA URAIA itangazwe maredioni, magazetini ikisimamiwa kutokea Ikulu:

Wazungu wa ulaya wao maisha ni ponda Mali kufa kwaja, basi!

Lakini sivyo. Tutawajibishwa n'vipi tuliishi hapa duniani.

Kuishi hapa duniani ni mtego MUUMBA wetu katutega. Tutaweza kuishi kwa mfumo (elimu ya uraia kutoka mbinguni?) wenye misingi mitatu -
A) Mambo yaweje juu ya ile habari kubwa -UUNGU?
Rejea Juz'u ya 30- ina sura 37
B) Mambo yaweje ili watu TUBARIKIWE?
Rejea Juz'u ya 29 ina sura 11.
C) Mambo yaweje ili watu TUWE WASIKIVU?
Rejea Juz'u ya 28- ina sura 9


Oooo oh! Kama ulitaka kujua-
1- mihuri saba na
2- Juz'u hizo tatu,
NDIYO KATIBA IHESHIMIWAYO Q41:41; ufu 5:1 yoh 16:13.
 
Katiba ni Mungu KUTUJIA Q7:52, wala sio mimi au wewe kiumbe kudiriki kudai inayo Katiba mpya.

..........aiwaaa!
 
Back
Top Bottom