Je, Wanayofanya wanawake hawa ni sawa?

Je, Wanayofanya wanawake hawa ni sawa?

Tunapozungumxia utamadun inaamana waanza kufunzwa hyo mambo tangu utoton!mfno hpo hpo dar kunamakabila hyo ni ishu ya kawaida sana week hdi week kz ni hyo tuu!!hii itawashangaza wa kishua ila watt wa mbwa hpo ndo pnywe!!!fatilia singeli zinapigwa wp ndo utaamin!!
Exactly hio ndio point yangu..
Kwa nini watoto wahusishwe? Yet again ndo maana hawa watu ni wachache sana wanafunguka akili na kutafuta maisha.
 
"God is the best inventor ever. He took a rib from a Man and created a loudspeaker" by Robert Mugabe ,March 2016.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mwanamke na mbwa jike, ng'ombe jike, hata ngurue jike. Pia nyani ni jike ila binaadam amepewa sifa ya kua mwanamke.

Mi ninaoona hapa si wanawake bali ni majike. Na kuna ambao sifa ya mwanamke haiwafai.
mwanamke amepewa jukumu zito la kuendeleza jamii na sio kufanya kama hii hapa;

Mkuu kweli usemayo hao sio wanawake ni majike.
Hao ni zaidi ya hao majike ya wanyama.
Mwenyezimungu ameumba viumbe vingi sana lakini amesema viumbe bora ktk viumbe vyote ni binaadam.
Lakini kama binaadam hatojua ubora wake kama hawa majike unayo yasema ubora wake hautakuwepo.
Lakini tujiulize mpaka binaadam anafikia hatuwa hii yakuwa zaidi ya myama nini?
Mm nadhani kwanza ni kutojitambuwa.
Pili ni tamaa za maisha mazuri bila kujituma.
Tatu malezi na maadili ya maisha waliyonayo.
Zaidi ya yote naamini watu hawa hawana dini nakama wanzo dini basi hawazijui aidha hawakuzisoma au wameamuwa kuziasi dini walizo zikuta.
 
Mkuu kweli usemayo hao sio wanawake ni majike.
Hao ni zaidi ya hao majike ya wanyama.
Mwenyezimungu ameumba viumbe vingi sana lakini amesema viumbe bora ktk viumbe vyote ni binaadam.
Lakini kama binaadam hatojua ubora wake kama hawa majike unayo yasema ubora wake hautakuwepo.
Lakini tujiulize mpaka binaadam anafikia hatuwa hii yakuwa zaidi ya myama nini?
Mm nadhani kwanza ni kutojitambuwa.
Pili ni tamaa za maisha mazuri bila kujituma.
Tatu malezi na maadili ya maisha waliyonayo.
Zaidi ya yote naamini watu hawa hawana dini nakama wanzo dini basi hawazijui aidha hawakuzisoma au wameamuwa kuziasi dini walizo zikuta.
Point mkuu pia kina dada wanafanyaga maamuzi ya sekunde bila kufikiria kwa undani.
Unakuta hata mashuleni (narefer nikiwa shule mwaka 2010)
Wasichana wanaweka dancing contest na inaanza kwa adabu. Ila pale mmoja anapozidiwa anaona hapewi attention ndo atatupa sketi juu ili audience (mostly wanakua wanaume) wahamie kwake.
 
Hao ndo wanawake bwana! mwili nyumba, akili giza.
Kiongozi!

Ni aibu kwa kweli.

Halafu mambo hayo bora wangefanya Vigoli, au kwa lugha nyingine wale Wasichana ambao wametoka kuvunja Ungo muda si mrefu, ningeelewa.

Lakini cha ajabu hao ni Majimama ambayo yameshakubuu, mbaya zaidi hawana hata mvuto
 
Kiongozi!

Ni aibu kwa kweli.

Halafu mambo hayo bora wangefanya Vigoli, au kwa lugha nyingine wale Wasichana ambao wametoka kuvunja Ungo muda si mrefu, ningeelewa.

Lakini cha ajabu hao ni Majimama ambayo yameshakubuu, mbaya zaidi hawana hata mvuto
Wanasema mwanamke akikosa akili akapewa uzuri via vyake vya uzazi ndo vinsumia.
Sasa hawa hawana vyote sijui kinachoumia nn
 
Na wewe ulouweka hapa in full bila ya hata kuukata. Mimi nimetizama sekunde 15 za mwanzo nikausimamisha!
 
hIii inaitwa fagia uwanja,mwanamke anaetaka kuolewa anafanxiwa hivi na mara( nyingi sio wote) nae anahusika kucheza hivyo hivyo
 
hIii inaitwa fagia uwanja,mwanamke anaetaka kuolewa anafanxiwa hivi na mara( nyingi sio wote) nae anahusika kucheza hivyo hivyo
Kwa up anafundishwa kua kwenda kwenye ndoa akaanike uchi Kwa yeyote sindio
 
Back
Top Bottom