Ni kweli kabisa!! Wamevaa vizuri wanaume wa Dar hoi, wamecheza chakacha, bado. Walishamwaga radhi hakuna kitu! Sasa ni bora kigodoro, lakini kwa wanaume wa Dar bado wanaficha nyuso na kuita askari.Kweli Dar hamna wanaume.
Tutaongea.Nipo sana wangu.......nipe coordinates niibuke......
Tutaongea.
Hapa wachawi wengi
Acheni watu wajirushe nyieeeeeee,watu wanamaisha magumu saaana,umasikini umekithiri sababu gap kati ya masikini na matajiri ni kubwa kama kiama,sasa watu wanyonya viroba,chibuku,konyagi mwitu bagi,ngada nk ili kukimbia hali mbaya na dhiki ndani ya ubongo ndio wanaingia kwenye hayo manyanga.
Hi Mam u right?Fanya hivyo bana.......
She left.Hi Mam u right?
Fanya hivyo bana.......
Where to?She left.