mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
- Thread starter
- #41
Achana na hao..Mimi siwashangai hao wanawake, ila nawashangaa hao wanaume ambao wanaweza kuwepo hapo wakipiga hayo mangoma alafu wako normal. Duuuh, kweli WANAUME WA DAR
Kuna mijinga mingine apo imeenda kutafuta mke wa kuoa.
Shame on humanity