Je, walikiamini walichokihubiri ?

Moja ya maandiko bora kabisa ya mmoja wa ng'ombe waliokatwa mkia! Ulianzisha CCJ ikafa kabla haijaanza, ukaja CHADEMA ukitegemea cheo/ubunge ukapigwa kotekote sasa hivi umerudi kundini lakini umeshakatwa mkia!Pole sana mzee naona unaendelea kuweweseka tuu.
Njaa mbaya sana,anavizia cheo kwa kujidhalilisha kiasi hiki.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Li
Ninaona maandiko mengi yakieleza kwamba hatua nyingi zinazochukuliwa na Serikali ya CCM chini ya uongozi mahiri wa JPM, yalisemwa na Chadema kupitia Tundu Lissu au Mnyika au Mbowe. Hii siyo hoja imara.

Hapa duniani wapo watu ambao wanaweza kusema jambo ukadhani wanasema jambo hilo kwa dhati kumbe wanaamini tofauti kabisa. Mfano Chadema walimsema sana Lowassa kama fisadi kwa zaidi ya miaka 10, lakini hawakuyaamini waliyoyahubiri. Ndiyo maana mwaka 2015 wakampokea Lowassa kuwa mgombea urais. Watanzania wakaihukumu Chadema kwenye uchaguzi Mkuu.

Wabunge wa Chadema wamehubiri sana demokrasia na kufanya maandamano kudai demokrasia pana. Wabunge hao walifunga midomo kuonyesha hisia hizo wakiwa bungeni. Lakini uteuzi wa wagombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki ikadhihirisha kwamba wanachokisema si kile wanachokiamini. Ndani ya Chadema demokrasia ni kwa masilahi mapana ya kikundi cha watu.

Kwahiyo madai ya Chadema na viongozi wa Chadema kudai kwamba yanayotekelezwa kwa sasa wao waliyasema siku nyingi ni hoja isiyo na mashiko.
Jambo lililo mhimu na la msingi ni mwenendo chanya wa viongozi na wanachama wa chama cha siasa kwa jamii. Pili chama cha siasa kinatakiwa kusimamia kinachokiamini. Siyo kuhubiri tu.

Kingine, lugha zinazotumika na baadhi ya viongozi wa Chadema mara nyingi huonyesha upungufu wa maadili na inawafanya watanzania wajiulize, je watu hawa wakipewa madaraka watakuwaje ? Ukosoaji wa Chadema umekuwa wa matusi. Na ukiwa mtukanaji wa Serikali utapewa sifa nyingi sana na hata kuitwa jiniasi- genius. Ni ujinga. Hitler alikuwa genius lakini alikuwa mharibifu pia. Unaweza ukawa genius na unajua sana sheria lakini bila moyo wa uzalendo hautakuwa na faida kwa jamii.

Rais JPM anafanya kazi njema, watanzania tumuunge mkono.
Ling'ombe lisilo na mkia
 
Ninaona maandiko mengi yakieleza kwamba hatua nyingi zinazochukuliwa na Serikali ya CCM chini ya uongozi mahiri wa JPM, yalisemwa na Chadema kupitia Tundu Lissu au Mnyika au Mbowe. Hii siyo hoja imara.

Hapa duniani wapo watu ambao wanaweza kusema jambo ukadhani wanasema jambo hilo kwa dhati kumbe wanaamini tofauti kabisa. Mfano Chadema walimsema sana Lowassa kama fisadi kwa zaidi ya miaka 10, lakini hawakuyaamini waliyoyahubiri. Ndiyo maana mwaka 2015 wakampokea Lowassa kuwa mgombea urais. Watanzania wakaihukumu Chadema kwenye uchaguzi Mkuu.

Wabunge wa Chadema wamehubiri sana demokrasia na kufanya maandamano kudai demokrasia pana. Wabunge hao walifunga midomo kuonyesha hisia hizo wakiwa bungeni. Lakini uteuzi wa wagombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki ikadhihirisha kwamba wanachokisema si kile wanachokiamini. Ndani ya Chadema demokrasia ni kwa masilahi mapana ya kikundi cha watu.

Kwahiyo madai ya Chadema na viongozi wa Chadema kudai kwamba yanayotekelezwa kwa sasa wao waliyasema siku nyingi ni hoja isiyo na mashiko.
Jambo lililo mhimu na la msingi ni mwenendo chanya wa viongozi na wanachama wa chama cha siasa kwa jamii. Pili chama cha siasa kinatakiwa kusimamia kinachokiamini. Siyo kuhubiri tu.

Kingine, lugha zinazotumika na baadhi ya viongozi wa Chadema mara nyingi huonyesha upungufu wa maadili na inawafanya watanzania wajiulize, je watu hawa wakipewa madaraka watakuwaje ? Ukosoaji wa Chadema umekuwa wa matusi. Na ukiwa mtukanaji wa Serikali utapewa sifa nyingi sana na hata kuitwa jiniasi- genius. Ni ujinga. Hitler alikuwa genius lakini alikuwa mharibifu pia. Unaweza ukawa genius na unajua sana sheria lakini bila moyo wa uzalendo hautakuwa na faida kwa jamii.

Rais JPM anafanya kazi njema, watanzania tumuunge mkono.
asante bwana mpendazoe aka mpendavye........
 
Neno uzalendo ni wimbo tu ambao ccm imekuwa ikiuimba kwa sauti na matendo tofauti. Hata Ben na Kikwete walipokuwa wanauza madini yetu kwa bei ya kutupwa waliimba uzalendo.

Zimwi baya la nchi hii ni ccm
nakubaliana na wewe 100% lakini weka pia CDM nao hakuna uzalendo. Ninachoweza kusema kuna baadhi ya vijana wazalendo na wanakwenda tofauti na wenzao kama Bashe wa CCM na Nassari wa CDM waliobaki ni vigumu sana kuwaelewa wanaegemea upande gani. Zamani tulikua na Filikunjombe na Zitto lakini sasa Zitto naye kawa mchumia Tumbo kama wenzake.
 
Ninaona maandiko mengi yakieleza kwamba hatua nyingi zinazochukuliwa na Serikali ya CCM chini ya uongozi mahiri wa JPM, yalisemwa na Chadema kupitia Tundu Lissu au Mnyika au Mbowe. Hii siyo hoja imara.

Hapa duniani wapo watu ambao wanaweza kusema jambo ukadhani wanasema jambo hilo kwa dhati kumbe wanaamini tofauti kabisa. Mfano Chadema walimsema sana Lowassa kama fisadi kwa zaidi ya miaka 10, lakini hawakuyaamini waliyoyahubiri. Ndiyo maana mwaka 2015 wakampokea Lowassa kuwa mgombea urais. Watanzania wakaihukumu Chadema kwenye uchaguzi Mkuu.

Wabunge wa Chadema wamehubiri sana demokrasia na kufanya maandamano kudai demokrasia pana. Wabunge hao walifunga midomo kuonyesha hisia hizo wakiwa bungeni. Lakini uteuzi wa wagombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki ikadhihirisha kwamba wanachokisema si kile wanachokiamini. Ndani ya Chadema demokrasia ni kwa masilahi mapana ya kikundi cha watu.

Kwahiyo madai ya Chadema na viongozi wa Chadema kudai kwamba yanayotekelezwa kwa sasa wao waliyasema siku nyingi ni hoja isiyo na mashiko.
Jambo lililo mhimu na la msingi ni mwenendo chanya wa viongozi na wanachama wa chama cha siasa kwa jamii. Pili chama cha siasa kinatakiwa kusimamia kinachokiamini. Siyo kuhubiri tu.

Kingine, lugha zinazotumika na baadhi ya viongozi wa Chadema mara nyingi huonyesha upungufu wa maadili na inawafanya watanzania wajiulize, je watu hawa wakipewa madaraka watakuwaje ? Ukosoaji wa Chadema umekuwa wa matusi. Na ukiwa mtukanaji wa Serikali utapewa sifa nyingi sana na hata kuitwa jiniasi- genius. Ni ujinga. Hitler alikuwa genius lakini alikuwa mharibifu pia. Unaweza ukawa genius na unajua sana sheria lakini bila moyo wa uzalendo hautakuwa na faida kwa jamii.

Rais JPM anafanya kazi njema, watanzania tumuunge mkono.
Mpendazoe à.k.a Mpendavyote una njaa ya tumbo pamoja na akili. Hapa unajaribu kujipendekeza kwa Magufuli ili akupe cheo utibu njaa yako ya tumbo, kwa tamaa uliyo nayo asipokuona kwa miezi kadhaa ijayo tutakusikia umehamia APPT maendeleo. Ndiyo. Wewe si Mpendavyote. Una gundu ndugu yangu, tulia acha UMALAYA wa kisiasa.
 
Andiko la kiwango cha chini sana ! Hivi Mpendazoe unaumwa nini ?

Ngoja nikuambie , humu humu jf kuna andiko la Tundu Lissu , lisome upate maarifa .

Leo nimejua kwanini wenzio wa kanda ya ziwa wanaula wewe umetelekezwa .
 
Andiko la kiwango cha chini sana ! Hivi Mpendazoe unaumwa nini ?

Ngoja nikuambie , humu humu jf kuna andiko la Tundu Lissu , lisome upate maarifa .

Leo nimejua kwanini wenzio wa kanda ya ziwa wanaula wewe umetelekezwa .
MpendaVYOTE huyu nani ampe cheo ? Anazunguka kama pia kwenye vyama vya siasa kwasabb amejawa na tamaa halafu kichwa maji.
 
Mkuu Fred Mpendazoe, naunga mkono hoja ya practicing what you preach

P.
Unanikumbusha kauli ya Magufuli Zanzibar kuhusu kutoteua wapinzani kwenye Serikali yake. Pengine katika hili pia, ni mapema sana kuhitimisha kwamba we have a leader who walks the talk. Tuwe na subira kidogo.
 
Fred Mpendazoe wacha kuleta maneno mbofumbofu. Wewe ni moja ya wanasiasa wa muda Mrefu sana na mshawahi kuwepo katika kamati mbalimbali za wabunge.

Nilitaraji utakuja na mapendekezo ya kusaidia Nchi kuonyesha ni wapi tulikwama na wapi tufanye nini kuweza kuipatia Nchi Mapato zaidi kupitia madini wewew unakuja na Lawama, Mzee wangu hiyo waachie wakina Polepole na Kamati zao za Itikadi na Uenezi wa chama.

Thibitisha Kijiji bila Wazee hakuna Busara. Jipange Uje kivingine Kwa Mara Nyingine.
 
Mzee kalelee Wajukuu wakati wako umeshapita na Siasa ni wakati kwani huna hoja kwanza jiangalie na umri wako
 
Kama wewe mwenyewe hujielewi kamwe huwezi kumuelewa Tundu Lisu alichoandika!

Halafu si lazima wote tumuunge mkono Rais.

Kuwa mwanaccm ni nusu ya uchizi na ndio maana TL anapenda Kuwait's "maccm".
CCM ni genge la ajabu sana. Kwenu ni muhimu kuwafukuza wanachana kwa kusaliti kambi ya urais lakini sio muhimu kuwafukuza wanachama wanao wasaliti watanzania katika usimamizi wa rasilimali zao.

Cc MsemajiUkweli wa Magufuli aka MwanaDiwani wa Kikwete
 
Ninaona maandiko mengi yakieleza kwamba hatua nyingi zinazochukuliwa na Serikali ya CCM chini ya uongozi mahiri wa JPM, yalisemwa na Chadema kupitia Tundu Lissu au Mnyika au Mbowe. Hii siyo hoja imara.

Hapa duniani wapo watu ambao wanaweza kusema jambo ukadhani wanasema jambo hilo kwa dhati kumbe wanaamini tofauti kabisa. Mfano Chadema walimsema sana Lowassa kama fisadi kwa zaidi ya miaka 10, lakini hawakuyaamini waliyoyahubiri. Ndiyo maana mwaka 2015 wakampokea Lowassa kuwa mgombea urais. Watanzania wakaihukumu Chadema kwenye uchaguzi Mkuu.

Wabunge wa Chadema wamehubiri sana demokrasia na kufanya maandamano kudai demokrasia pana. Wabunge hao walifunga midomo kuonyesha hisia hizo wakiwa bungeni. Lakini uteuzi wa wagombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki ikadhihirisha kwamba wanachokisema si kile wanachokiamini. Ndani ya Chadema demokrasia ni kwa masilahi mapana ya kikundi cha watu.

Kwahiyo madai ya Chadema na viongozi wa Chadema kudai kwamba yanayotekelezwa kwa sasa wao waliyasema siku nyingi ni hoja isiyo na mashiko.
Jambo lililo mhimu na la msingi ni mwenendo chanya wa viongozi na wanachama wa chama cha siasa kwa jamii. Pili chama cha siasa kinatakiwa kusimamia kinachokiamini. Siyo kuhubiri tu.

Kingine, lugha zinazotumika na baadhi ya viongozi wa Chadema mara nyingi huonyesha upungufu wa maadili na inawafanya watanzania wajiulize, je watu hawa wakipewa madaraka watakuwaje ? Ukosoaji wa Chadema umekuwa wa matusi. Na ukiwa mtukanaji wa Serikali utapewa sifa nyingi sana na hata kuitwa jiniasi- genius. Ni ujinga. Hitler alikuwa genius lakini alikuwa mharibifu pia. Unaweza ukawa genius na unajua sana sheria lakini bila moyo wa uzalendo hautakuwa na faida kwa jamii.

Rais JPM anafanya kazi njema, watanzania tumuunge mkono.
Fred Mpendazoe: Lowassa tusamehe tuliokuhukumu, nikiwamo mimi!
 
Kwahiyo madai ya Chadema na viongozi wa Chadema kudai kwamba yanayotekelezwa kwa sasa wao waliyasema siku nyingi ni hoja isiyo na mashiko.

Jambo lililo mhimu na la msingi ni mwenendo chanya wa viongozi na wanachama wa chama cha siasa kwa jamii. Pili chama cha siasa kinatakiwa kusimamia kinachokiamini. Siyo kuhubiri tu.
Mpendazo, ni mtu anyeishi nchi jirani au nyingine asiyefuatilia siasa za Tanzania anayeweza kuamini kuwa wapinzani hawakusema haya ya madini n.k.

Mpendazoe, hivi Buzwagi wakati Zitto anafukuzwa alikuwa mwanachama wa CCM?

Nionyeshe au nitajie mbunge mmoja tu wa CCM aliyewahi kusimama kinyume na haya ya leo

Tume ya Bomani matokeo yake yamefanyiwa kazi kiasi gani?

Hoja ya mwendo chanya ni kutaka kufunika kombe mwanaharamu apite. Hakuna chama kilichowahi kutawala Tanzania zaidi ya CCM. Hakuna serikali iliyowahi kuundwa na chama kingine zaidi ya CCM

Sera za madini za CCM ndizo zimekaribisha matatizo yoote haya na wakati zinatungwa, zinaenezwa na zinatekelezwa baadhi yao walikuwepo.

Mpendazoe anataka kutufanya majuha wa kusahau miswada iliyopitishwa usiku kwa dharura, miswada iliyosainiwa katika vi hotel vya B& B London kwamba haikuingiwa na wana CCM hivyo twende kwa mwendo chanya.

Mwendo chanya wa Mpendazoe ni kusahau uhuni uliolitia taifa hili hasara chini ya CCM
 
Ninaona maandiko mengi yakieleza kwamba hatua nyingi zinazochukuliwa na Serikali ya CCM chini ya uongozi mahiri wa JPM, yalisemwa na Chadema kupitia Tundu Lissu au Mnyika au Mbowe. Hii siyo hoja imara.

Hapa duniani wapo watu ambao wanaweza kusema jambo ukadhani wanasema jambo hilo kwa dhati kumbe wanaamini tofauti kabisa. Mfano Chadema walimsema sana Lowassa kama fisadi kwa zaidi ya miaka 10, lakini hawakuyaamini waliyoyahubiri. Ndiyo maana mwaka 2015 wakampokea Lowassa kuwa mgombea urais. Watanzania wakaihukumu Chadema kwenye uchaguzi Mkuu.

Wabunge wa Chadema wamehubiri sana demokrasia na kufanya maandamano kudai demokrasia pana. Wabunge hao walifunga midomo kuonyesha hisia hizo wakiwa bungeni. Lakini uteuzi wa wagombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki ikadhihirisha kwamba wanachokisema si kile wanachokiamini. Ndani ya Chadema demokrasia ni kwa masilahi mapana ya kikundi cha watu.

Kwahiyo madai ya Chadema na viongozi wa Chadema kudai kwamba yanayotekelezwa kwa sasa wao waliyasema siku nyingi ni hoja isiyo na mashiko.
Jambo lililo mhimu na la msingi ni mwenendo chanya wa viongozi na wanachama wa chama cha siasa kwa jamii. Pili chama cha siasa kinatakiwa kusimamia kinachokiamini. Siyo kuhubiri tu.

Kingine, lugha zinazotumika na baadhi ya viongozi wa Chadema mara nyingi huonyesha upungufu wa maadili na inawafanya watanzania wajiulize, je watu hawa wakipewa madaraka watakuwaje ? Ukosoaji wa Chadema umekuwa wa matusi. Na ukiwa mtukanaji wa Serikali utapewa sifa nyingi sana na hata kuitwa jiniasi- genius. Ni ujinga. Hitler alikuwa genius lakini alikuwa mharibifu pia. Unaweza ukawa genius na unajua sana sheria lakini bila moyo wa uzalendo hautakuwa na faida kwa jamii.

Rais JPM anafanya kazi njema, watanzania tumuunge mkono.
Kinyonga
 
Unanikumbusha kauli ya Magufuli Zanzibar kuhusu kutoteua wapinzani kwenye Serikali yake. Pengine katika hili pia, ni mapema sana kuhitimisha kwamba we have a leader who walks the talk. Tuwe na subira kidogo.
Kwa sisi watazamaji, siku nyingi tulishabaini dalili zote za deep rooted neurosis ila sio wengi wanaolijua hili.

Mimi siku zote nasisitiza Magufuli asaidiwe ili aweze. Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! .

Paskali
 
Back
Top Bottom