Je, walikiamini walichokihubiri ?

Leo ndiyo mara ya kwanza nakuunga mkono.
Kitendo cha kumpokea Lowassa ilikua pigo moja kubwa sana, sikuamini walichokifanya hawa jamaa, walionyesha kua wapo tayari kupokea hata jambazi ilimradi waguse ikulu maana najua sababu pekee ya kumpokea EL ilikua ni kwa kua waliona popularity yake sidhani kama kuna sababu nyingine. Ndiyo maana sina chama, napondea kila mtu akikosea, nasifia kila mtu akipatia. Binadamu hatupo stable kabisa.

Ila usitumie hiyo hoja kupinga kua upinzani waliongea muda mrefu kuhusu swala la sheria za madini, ni kweli waliongea video za bunge zipo hilo halipingiki, unataka lisitamkwe? Bora kinga kuliko tiba, tungekinga toka kipindi kile hii vita ya leo isingekuwepo. Inabidi serikali muda mwingine isikilize, wapinzani nao ni watanzania vilevile tu, wapo wengine wana nia njema pia, na hata kama hawana ni rahisi kuchukua hoja na kuifikiria na kuona kama ina faida au la, hata kichaa kuna muda anaongea point.
 
Anyway umeongelea swala la lowasa kinachochekesha wwe ni mmojawao waliomsafisha lowasa kwa kuandika makala kwenye raia mwena isemayo UTUSAMEHE LOWASA..... sasa iweje ulimsafisha na ukaomba akusamehe kwa kumsingiza na ukaandika hoja nzito sana eti leo unakana andiko lako ???

Huyu ni wa pili baada ya yule wa taarifa na burudani

Tusimulaumu huyu mzee, jina lake linadhihirisha matendo yake, "He likes all"

Kuna mtu alioa mke wa kwanza hakutosheka, akaoa wa pili, watatu, wanne, watano bado akaona ladha ni ileile, akawaacha wote, alipoulizwa kulikoni unawaacha wake zako akawajibu ZAFANANA

Likewise huku nako
 
Ninaona maandiko mengi yakieleza kwamba hatua nyingi zinazochukuliwa na Serikali ya CCM chini ya uongozi mahiri wa JPM, yalisemwa na Chadema kupitia Tundu Lissu au Mnyika au Mbowe. Hii siyo hoja imara.

Hapa duniani wapo watu ambao wanaweza kusema jambo ukadhani wanasema jambo hilo kwa dhati kumbe wanaamini tofauti kabisa. Mfano Chadema walimsema sana Lowassa kama fisadi kwa zaidi ya miaka 10, lakini hawakuyaamini waliyoyahubiri. Ndiyo maana mwaka 2015 wakampokea Lowassa kuwa mgombea urais. Watanzania wakaihukumu Chadema kwenye uchaguzi Mkuu.

Wabunge wa Chadema wamehubiri sana demokrasia na kufanya maandamano kudai demokrasia pana. Wabunge hao walifunga midomo kuonyesha hisia hizo wakiwa bungeni. Lakini uteuzi wa wagombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki ikadhihirisha kwamba wanachokisema si kile wanachokiamini. Ndani ya Chadema demokrasia ni kwa masilahi mapana ya kikundi cha watu.

Kwahiyo madai ya Chadema na viongozi wa Chadema kudai kwamba yanayotekelezwa kwa sasa wao waliyasema siku nyingi ni hoja isiyo na mashiko.
Jambo lililo mhimu na la msingi ni mwenendo chanya wa viongozi na wanachama wa chama cha siasa kwa jamii. Pili chama cha siasa kinatakiwa kusimamia kinachokiamini. Siyo kuhubiri tu.

Kingine, lugha zinazotumika na baadhi ya viongozi wa Chadema mara nyingi huonyesha upungufu wa maadili na inawafanya watanzania wajiulize, je watu hawa wakipewa madaraka watakuwaje ? Ukosoaji wa Chadema umekuwa wa matusi. Na ukiwa mtukanaji wa Serikali utapewa sifa nyingi sana na hata kuitwa jiniasi- genius. Ni ujinga. Hitler alikuwa genius lakini alikuwa mharibifu pia. Unaweza ukawa genius na unajua sana sheria lakini bila moyo wa uzalendo hautakuwa na faida kwa jamii.

Rais JPM anafanya kazi njema, watanzania tumuunge mkono.
Mpendazoe njaa inakusumbua,Hakuna njaa mbaya kama inayoanzia kichwani kuelekea tumboni,Umeamua kusumbukia njaa ya kichwa unapoteza muda sana,Better ungemaliza madeni yako kwanza,Kwa ushauri tafuta kitabu cha saikolojia fanya mazoezi upunguze stress,Ulishafutika kwenye ramani za siasa ndio maana uliitwa mbuzi mwenye mkia mfupi
 
Ninaona maandiko mengi yakieleza kwamba hatua nyingi zinazochukuliwa na Serikali ya CCM chini ya uongozi mahiri wa JPM, yalisemwa na Chadema kupitia Tundu Lissu au Mnyika au Mbowe. Hii siyo hoja imara.

Hapa duniani wapo watu ambao wanaweza kusema jambo ukadhani wanasema jambo hilo kwa dhati kumbe wanaamini tofauti kabisa. Mfano Chadema walimsema sana Lowassa kama fisadi kwa zaidi ya miaka 10, lakini hawakuyaamini waliyoyahubiri. Ndiyo maana mwaka 2015 wakampokea Lowassa kuwa mgombea urais. Watanzania wakaihukumu Chadema kwenye uchaguzi Mkuu.

Wabunge wa Chadema wamehubiri sana demokrasia na kufanya maandamano kudai demokrasia pana. Wabunge hao walifunga midomo kuonyesha hisia hizo wakiwa bungeni. Lakini uteuzi wa wagombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki ikadhihirisha kwamba wanachokisema si kile wanachokiamini. Ndani ya Chadema demokrasia ni kwa masilahi mapana ya kikundi cha watu.

Kwahiyo madai ya Chadema na viongozi wa Chadema kudai kwamba yanayotekelezwa kwa sasa wao waliyasema siku nyingi ni hoja isiyo na mashiko.
Jambo lililo mhimu na la msingi ni mwenendo chanya wa viongozi na wanachama wa chama cha siasa kwa jamii. Pili chama cha siasa kinatakiwa kusimamia kinachokiamini. Siyo kuhubiri tu.

Kingine, lugha zinazotumika na baadhi ya viongozi wa Chadema mara nyingi huonyesha upungufu wa maadili na inawafanya watanzania wajiulize, je watu hawa wakipewa madaraka watakuwaje ? Ukosoaji wa Chadema umekuwa wa matusi. Na ukiwa mtukanaji wa Serikali utapewa sifa nyingi sana na hata kuitwa jiniasi- genius. Ni ujinga. Hitler alikuwa genius lakini alikuwa mharibifu pia. Unaweza ukawa genius na unajua sana sheria lakini bila moyo wa uzalendo hautakuwa na faida kwa jamii.

Rais JPM anafanya kazi njema, watanzania tumuunge mkono.
Mpendazoe njaa inakusumbua,Hakuna njaa mbaya kama inayoanzia kichwani kuelekea tumboni,Umeamua kusumbukia njaa ya kichwa unapoteza muda sana,Better ungemaliza madeni yako kwanza,Kwa ushauri tafuta kitabu cha saikolojia fanya mazoezi upunguze stress,Ulishafutika kwenye ramani za siasa ndio maana uliitwa mbuzi mwenye mkia mfupi
 
Ninaona maandiko mengi yakieleza kwamba hatua nyingi zinazochukuliwa na Serikali ya CCM chini ya uongozi mahiri wa JPM, yalisemwa na Chadema kupitia Tundu Lissu au Mnyika au Mbowe. Hii siyo hoja imara.

Hapa duniani wapo watu ambao wanaweza kusema jambo ukadhani wanasema jambo hilo kwa dhati kumbe wanaamini tofauti kabisa. Mfano Chadema walimsema sana Lowassa kama fisadi kwa zaidi ya miaka 10, lakini hawakuyaamini waliyoyahubiri. Ndiyo maana mwaka 2015 wakampokea Lowassa kuwa mgombea urais. Watanzania wakaihukumu Chadema kwenye uchaguzi Mkuu.

Wabunge wa Chadema wamehubiri sana demokrasia na kufanya maandamano kudai demokrasia pana. Wabunge hao walifunga midomo kuonyesha hisia hizo wakiwa bungeni. Lakini uteuzi wa wagombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki ikadhihirisha kwamba wanachokisema si kile wanachokiamini. Ndani ya Chadema demokrasia ni kwa masilahi mapana ya kikundi cha watu.

Kwahiyo madai ya Chadema na viongozi wa Chadema kudai kwamba yanayotekelezwa kwa sasa wao waliyasema siku nyingi ni hoja isiyo na mashiko.
Jambo lililo mhimu na la msingi ni mwenendo chanya wa viongozi na wanachama wa chama cha siasa kwa jamii. Pili chama cha siasa kinatakiwa kusimamia kinachokiamini. Siyo kuhubiri tu.

Kingine, lugha zinazotumika na baadhi ya viongozi wa Chadema mara nyingi huonyesha upungufu wa maadili na inawafanya watanzania wajiulize, je watu hawa wakipewa madaraka watakuwaje ? Ukosoaji wa Chadema umekuwa wa matusi. Na ukiwa mtukanaji wa Serikali utapewa sifa nyingi sana na hata kuitwa jiniasi- genius. Ni ujinga. Hitler alikuwa genius lakini alikuwa mharibifu pia. Unaweza ukawa genius na unajua sana sheria lakini bila moyo wa uzalendo hautakuwa na faida kwa jamii.

Rais JPM anafanya kazi njema, watanzania tumuunge mkono.
Umekatwa mkia
 
Badala uwalaani hawa CCM wenzio walioingia mikataba ya kijinga na kulisababishia taifa hasara ya matrilioni, wewe umekomaa na Chadema.

We jamaa unazeeka vibaya!
Hata wewe unatakiwa ushatakiwe kipindi cha mikataba hiyo ulikuwa CCM
 
Watanzania waliowengi hawataki kujua nani kafanya nini! Nani katufikisha hapa. Watanzania wanataka tunatoka je hapa. Wanataka muafaka wa kudumu wa maovu na unyonyaji wa zaidi ya nusu karne, wachache kunufaika na kuacha wengi wakataanika.
Mivutano ya kisiasa hainatija Kwa wananchi waliowengi.
Khaaa kweli hata shule za kata zinasaidia ,Jitu hata halielewi mambo ya madini na sheria zilizopo kazi ni kuandika tu linalokujia kichwani,Kama hujui kitu uliza usikurupuke
 
Huyu mpenda Zoe hadi anatia huruma. Si uachane na siasa tu mzee? Acha kulazimisha fani isiyokufaa. Maybe kutoka kwako hakupo kwenye siasa labda kwenye inshu nyingine

Mi nakushauri jaribu kwenye upande wa kilimo na ufugaji huenda ukatoka.

Huna nyota
 
We mzee unanipa tabu sana kukuelewa sasa hivi na maandiko yako. Si mpendazoe niliyepata kumfahamu.
 
Mkuu mpendazoe hivi kweli unadiriki kuuliza kma wanaamini walichohubiri???? Hivi wangekuwa hawakiamini wangeendelea kukilalamikia kitu hicho kwa miaka zaidi ya 18 sasa???? Yaani kila hotuba ya KUB kwa wizara ya nishati na madini haikosi kelele juu ya mikataba nyonyaji aaaah we unaona hawaamini????? Wafanyeje uwaamini???

Kipindi wanapitisha muswada mbovu wa gesi na mafuta ni wapinzani pekee ndo walitoka nje huku ccm wakibaki kuupitisha na jana wameumbuka baada ya mwenyekiti wao kuwaambia wakarekebishe walichopitisha maana kina udhaifu ule ule uliolalamikiwa na upinzani sawa hapo nani haishi anachokiamini je ni ccm ama chadema????

2. Bunge la katiba. Kwenye rasimu ya warioba kulikuwa na kipengele kinacholazimu serikali kuleta mikataba bungeni ili iwe wazi kwa mijadala ya kitaifa kabla haijaanza kutumika hawa hawa wapinzani waliopiga kelele kwa miongo miwili kabla ya bunge la katiba walisupport kipengele hili ila hiko chama ulipo walikifuta sasa ni nani hapo ameishi alichohubiri......chadema ama chama chako.

Unanishangaza sana mkuu..... hiko chama chako je kinaamini kilichohubiri kuwa ni cha kizalendo je kimeweza kuishi maneno yake na wakati kimetufikisha hapa??? Na swali langu je miaka yote chadema imepigia kelele masuala haya ya mikataba chama chalo walikuwa wanajibu nini?????

Anyway umeongelea swala la lowasa kinachochekesha wwe ni mmojawao waliomsafisha lowasa kwa kuandika makala kwenye raia mwena isemayo UTUSAMEHE LOWASA..... sasa iweje ulimsafisha na ukaomba akusamehe kwa kumsingiza na ukaandika hoja nzito sana eti leo unakana andiko lako ??? Ssa tukueleweje?? Ukiwa ccm ooh lowasa fisadi chadema ooh lowasa msafi sahvi tena ooh lowasa fisadi ssa 2020 ukirudi tena upinzani utasemaje???

Mkuu mambo mengine ni heri ukae kimya tu lakini kuhoji nani aliamini alichohubiri naona chama chako kina kesi nyingi za kujibu
Umemaliza mkuu!! Akakojoe alale
 
Kwa hiyo wewe Mpendazoe una maadili? Yule dada aliyekuwa pale Hosteli za Ubungo ulimuoa au ulimharibia maisha ukamtelekeza? Mbona alitulalamikia sisi tuliokuwa tukisoma naye pale Mlimani kwamba wewe ni tapeli mkubwa na huna Maadili? Mbona wewe hukumwonea huruma binti wa watu wazazi wake wamejitahidi kumsomesha kwa shida hadi anafika chuo kikuu ukamtapeli kimapenzi? Ona aibu. Nitashangaa kama huyu unayemsifia atakupa hata ukatibu kata tu. Labda kwa vile mnatoka kanda moja ya ziwa. Wakabila wakubwa ninyi. Mpendazoe tunakujua ndani nje. Funga domo lako. Ng'ombe bila mkia.
 
Wewe mkatwa mkia, sidhani kama kuukandia upinzani utakufanua uonekane ccm kupata U-DC
 
Tapeli mkubwa Mpendazoe. Mkia umeota? Anatafuta ukuu wa wilaya huyo. Hivi wewe mpendazoe unaweza hata kuhojiana na Lissu? jamani, vituko vingine.
 
Ni kikumbuka Mpendazoe alivyokuwa na uwezo wakati akiwa Mbunge wa CCM kabla ya kuuacha na kujiunga Chadema sipati picha ya huyu Mpendazoe wa kizazi hiki.

Hivi kumbe njaa iko hivi? madhara yake kumbe yanaweza utafuna ubongo kuliko hata saratani ya kichwa?

Mzee mwenzangu Mpendazoe, hebu tunza heshima yako na ya family yako kwa kutoendekeza njaa kwa kiasi hicho.
Arudi tu CCJ atapata akili.
 
Ninaona maandiko mengi yakieleza kwamba hatua nyingi zinazochukuliwa na Serikali ya CCM chini ya uongozi mahiri wa JPM, yalisemwa na Chadema kupitia Tundu Lissu au Mnyika au Mbowe. Hii siyo hoja imara.

Hapa duniani wapo watu ambao wanaweza kusema jambo ukadhani wanasema jambo hilo kwa dhati kumbe wanaamini tofauti kabisa. Mfano Chadema walimsema sana Lowassa kama fisadi kwa zaidi ya miaka 10, lakini hawakuyaamini waliyoyahubiri. Ndiyo maana mwaka 2015 wakampokea Lowassa kuwa mgombea urais. Watanzania wakaihukumu Chadema kwenye uchaguzi Mkuu.

Wabunge wa Chadema wamehubiri sana demokrasia na kufanya maandamano kudai demokrasia pana. Wabunge hao walifunga midomo kuonyesha hisia hizo wakiwa bungeni. Lakini uteuzi wa wagombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki ikadhihirisha kwamba wanachokisema si kile wanachokiamini. Ndani ya Chadema demokrasia ni kwa masilahi mapana ya kikundi cha watu.

Kwahiyo madai ya Chadema na viongozi wa Chadema kudai kwamba yanayotekelezwa kwa sasa wao waliyasema siku nyingi ni hoja isiyo na mashiko.
Jambo lililo mhimu na la msingi ni mwenendo chanya wa viongozi na wanachama wa chama cha siasa kwa jamii. Pili chama cha siasa kinatakiwa kusimamia kinachokiamini. Siyo kuhubiri tu.

Kingine, lugha zinazotumika na baadhi ya viongozi wa Chadema mara nyingi huonyesha upungufu wa maadili na inawafanya watanzania wajiulize, je watu hawa wakipewa madaraka watakuwaje ? Ukosoaji wa Chadema umekuwa wa matusi. Na ukiwa mtukanaji wa Serikali utapewa sifa nyingi sana na hata kuitwa jiniasi- genius. Ni ujinga. Hitler alikuwa genius lakini alikuwa mharibifu pia. Unaweza ukawa genius na unajua sana sheria lakini bila moyo wa uzalendo hautakuwa na faida kwa jamii.

Rais JPM anafanya kazi njema, watanzania tumuunge mkono.
kukaa kimya nako ni busara,kama uliweza kumsimanga lowasa ukiwa ccm na ukaenda cdm ukaanza kumuomba msamaha tutakuelewa kweli?unatafuta kujichafua tu
 
Back
Top Bottom