YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,003
JE wajua sifa za nchi iliyochanganyikiwa
Sifa mojawapo ni hizi zifuatazo
1.Ukiingia msikitini unakuta waislamu wameshika biblia wanaichambua
2.Ukiingia Kanisani unakuta wakristo wameshika kuruani wanaichambua
3.Ukiingia kanisani au msikitini unakuta viongozi wa Dini wanahubiri na kuchambua siasa mwanzo hadi mwisho wa ibada
4.Ukienda asubuhi shambani unamkuta mkulima anasikiliza kipindi cha leo katika bunge kwenye ka radio anakotembea nako badala ya kulima
5.Ukienda ofisini asubuhi unakuta wafanyakazi wanaangalia kipindi kwenye TV cha leo katika bunge badala ya kufanya kazi
6.Ukienda eneo la biashara unakuta muuzaji kakodolea TV anasikiliza kipindi cha leo katika bunge badala ya kuhudumia wateja
7.Ukienda Majumbani mchana badala ya mama mwenye nyumba kutulia kupika anasikiliza kipindi cha leo katika bunge hadi anaunguza chakula jikoni na kulambwa makofi na kuishia kupewa talaka
Sifa mojawapo ni hizi zifuatazo
1.Ukiingia msikitini unakuta waislamu wameshika biblia wanaichambua
2.Ukiingia Kanisani unakuta wakristo wameshika kuruani wanaichambua
3.Ukiingia kanisani au msikitini unakuta viongozi wa Dini wanahubiri na kuchambua siasa mwanzo hadi mwisho wa ibada
4.Ukienda asubuhi shambani unamkuta mkulima anasikiliza kipindi cha leo katika bunge kwenye ka radio anakotembea nako badala ya kulima
5.Ukienda ofisini asubuhi unakuta wafanyakazi wanaangalia kipindi kwenye TV cha leo katika bunge badala ya kufanya kazi
6.Ukienda eneo la biashara unakuta muuzaji kakodolea TV anasikiliza kipindi cha leo katika bunge badala ya kuhudumia wateja
7.Ukienda Majumbani mchana badala ya mama mwenye nyumba kutulia kupika anasikiliza kipindi cha leo katika bunge hadi anaunguza chakula jikoni na kulambwa makofi na kuishia kupewa talaka