FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,050
- 40,712
Kwa hali ya kiuchumi ambayo watu wanatembea 50km kuchota maji kwenye ndoo, mshahara Wa 15,000,000/= ni mdogo? au unaongelea mshahara gani huo mdogo...Sijamlinganisha flight atendant wa Emirates na wa ATC bali mkurugenzi mkuu wa Tanesco na Tanapa kulipwa mshahara mdogo... ndo shida mkuu.......