Je, wajua matumizi ya "A" na "THE" katika lugha ya kiingereza?

Lakini pia "the" huwekwa ktk nomino/jina ambalo Mimi mtamkaji na wewe msikilizaji tulifahamu au tunafahamu vizuri hicho kitu au jina lililotamkwa.Hii "a" Ni pale ambapo jina au nomino sio maalum au daaah...sijui nisemeje hapa ,kufundisha nako kazi sana Yan.
Hata mm ndio nilikuwa najua hivyo.
Yaani kitu kinapotajwa kwa mara ya pili tunatumia The,lkn kinapotajwa kwa mara ya kwanza tunatumia a.
Sasa huyu mtoa mada ndio kanivuruga kabisa na somo lake la leo
 
Kiufupi hiyo ni changamoto kwa watanzania asilimia 90 awe msomi au asiwe msomi. Na sio kwamba ni wazembe ila ni mazingira tuliyokulia.
Imagine mtu amesoma kuanzia chekechea hadi chuo kikuu hajawahi kukutana na mzungu kuongea naye live sasa atajulia wapi yale mambo.

Kila nchi ina lafudhi yake kwenye kuongea,sasa ili uizoee na kuielewa lafudhi ya nchi husika ni mpaka ukae nao hao raia wa nchi husika ndio unawazoea na kuwaelewa wakizungumza.
Hili tatizo la kutokuelewa mzungu katamka Nini kwenye tv lipo hata kwa wasomi tunaowaamini.Ukitaka kujua hilo tafuta wasomi wetu Hawa tunaowajua afu kaa nae kwenye tv Kisha mfungulie aljazeera afu muulize hv mtangazaji kaongea Nini pale??....aisee jibu atakalokupa utakoma kuuliza tena yan.
 
You are very correct
Mkuu umeandika utumbo na matango pori,kama hujui jambo usijaribu kuwalisha wenzako Uongo,kuna mwanafunzi atasoma hapa akariri,akiandika hivo lazima afeli.

Article A na An ni indefinite articles kwa maana ya kwamba zinatambulisha Nomino isiyo maalum au sio mahsusi.
A book,a car,an orange an apple nk..
 
Lakini pia, 'THE' hutumika unapotaja milima, Mungu, Bahari, maziwa, mwezi, jua

mfano
The sun.......
The ocean........
The lake.......
The wind.......
The sun.......
 
'A' hutumika kwa kitu ulichokitaja kwenye sentensi kwa mala ya kwanza,,lakini kitu ichoicho ukikitaja tena kwa Mala ya pili kwenye sentensi yako itakupasa utumie 'The'
 
"A" is normally used for the things mentioned for the first time,,BUT.
"The" is used for things mentioned more than one time,FOR EXAMPLE a book,but if U mention book for the second time U must say the book,,but also THE is used for the things which are well known,,U can't say A sun instead U must say THE sun because sun is well known.
 
THE is used for the things which are well known,,U can't say A sun instead U must say THE sun because sun is well known.
1. Hapo huwa tunasema vitu vya kipekee, mfano jua ni moja hakuna jingine, mwezi ni mmoja na hakuna mwingine na
2. Vile vile hutumika kwa ajili ya kutaja kitu specific kati ya vingi " there are lots of car out there but the red one is the most beautifully"
 
This is a water!! Hii mbona mi naona kama imekaa ki local sana!! Wahuni tunamaliza hivi tu this is water..😅
... ha ha ha! Jamaa kachapia; sio kila nomino isiyo na umbo maamlumu hulazimika kutambulishwa kwa "a" lakini pia "a" si kwa ajili ya nomino isiyo na umbo maalumu tu!
 
1. Hapo huwa tunasema vitu vya kipekee, mfano jua ni moja hakuna jingine, mwezi ni mmoja na hakuna mwingine na
2. Vile vile hutumika kwa ajili ya kutaja kitu specific kati ya vingi " there are lots of car out there but the red one is the most beautifully"
Sana mkuu
 
Maneno "a" pamoja na "the" ni kifungu cha mameno ambayo huwa yanatumika kama utambulisho wa nomino katika lugha ya kiingereza .utofauti wa haya maneno mawili ni:

"A" hutumika kutambulisha nomino ambayo haina umbo maalum.kwa mfano:- tuchukue nomino ambayo haina umbo maalum kama "maji" basi sentensi itakuwa, "this is a water from indian ocean".hatuwezi kusema "this is the water from indian acean...
Kuna mwalim wangu mmoja ivi alinifundisha jinsi ya kutumia izi articles kuna A na the akanambia A unatumia kwa kitu ambacho bado hujakifaham the kwa kitu unachokifaham mf. A man kama uyo mtu ni first time kumuona na the man hapo ushamfaham ila naon kama the man hainogi inanoga kutumia a man mi ntakavyojisikia utamu kwenye ulimi wa kutamka neno naendanalo iv iv ani ilimradi tu linanoga mdomoni kwenye kutamka
 
Back
Top Bottom