myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,811
- 721,136
ila kuna uzushi kama huu,....Uliza chochote kuhusu kufa, kuzaliwa, na au kupotea.
Je, wajua mtu anaweza kufa na kuzaliwa tena?
Je, wajua kuwa watu wakifa hawaendi popote sio mbiguni wala motoni?
Je, wajua hakuna mungu?
Je, wajua hakuna hukumu baada ya kifo?
Uliza maswali yeyote kuhusu uzima, kuishi na maisha baada ya kifo.
Na utajibiwa hapa.