Ukback255
Senior Member
- Aug 31, 2016
- 174
- 278
Uliza chochote kuhusu kufa, kuzaliwa, na au kupotea.
Je, wajua mtu anaweza kufa na kuzaliwa tena?
Je, wajua kuwa watu wakifa hawaendi popote sio mbiguni wala motoni?
Je, wajua hakuna mungu?
Je, wajua hakuna hukumu baada ya kifo?
Uliza maswali yeyote kuhusu uzima, kuishi na maisha baada ya kifo.
Na utajibiwa hapa.
Je, wajua mtu anaweza kufa na kuzaliwa tena?
Je, wajua kuwa watu wakifa hawaendi popote sio mbiguni wala motoni?
Je, wajua hakuna mungu?
Je, wajua hakuna hukumu baada ya kifo?
Uliza maswali yeyote kuhusu uzima, kuishi na maisha baada ya kifo.
Na utajibiwa hapa.