Je, wajua kuwa hakuna kifo?

Je, wajua kuwa hakuna kifo?

Ukback255

Senior Member
Joined
Aug 31, 2016
Posts
174
Reaction score
278
Uliza chochote kuhusu kufa, kuzaliwa, na au kupotea.

Je, wajua mtu anaweza kufa na kuzaliwa tena?

Je, wajua kuwa watu wakifa hawaendi popote sio mbiguni wala motoni?

Je, wajua hakuna mungu?

Je, wajua hakuna hukumu baada ya kifo?

Uliza maswali yeyote kuhusu uzima, kuishi na maisha baada ya kifo.

Na utajibiwa hapa.
 
kwanini hakuna kifo..? na wewe unajua kifo ni nini..?
 
Uliza chochote kuhusu kufa, kuzaliwa, na au kupotea.

Je, wajua mtu anaweza kufa na kuzaliwa tena?

Je, wajua kuwa watu wakifa hawaendi popote sio mbiguni wala motoni?

Je, wajua hakuna mungu?

Je, wajua hakuna hukumu baada ya kifo?

Uliza maswali yeyote kuhusu uzima, kuishi na maisha baada ya kifo.

Na utajibiwa hapa.
MASWALI YANGU

1: (a) Ulikufa lini na kuzaliwa lini ?
(b) Wazazi wako waliokuzaa je walikufa kabla hujazaliwa Mara ya pili au ya tatu na kadhalika?
(c) Je kuna uwezekano ukitangulia kufa kabla ya wazazi ukazaliwa ukawakta wazazi wako hawajafa ? Kama ndio wazazi wakifa je kuna uwezo ukawazaa[emoji15] [emoji15]


2. Loading
 
Uliza chochote kuhusu kufa, kuzaliwa, na au kupotea.

Je, wajua mtu anaweza kufa na kuzaliwa tena?

Je, wajua kuwa watu wakifa hawaendi popote sio mbiguni wala motoni?

Je, wajua hakuna mungu?

Je, wajua hakuna hukumu baada ya kifo?

Uliza maswali yeyote kuhusu uzima, kuishi na maisha baada ya kifo.

Na utajibiwa hapa.
2. (a) Kama watu wakifa hawaendi popote je huwa wanabaki wapi?
(b) Kitendo cha kuwazika waliokufa huwa kina maana gani? Kwanini huwa wanazikwa ?

(c) Je umewahi kufa? kama siyo ulijuaje kuwa huwa hawaendi popote? Kama ndiyo je ulizikwa? Kama ndiyo kwanini ulikubali kuzikwa ? Kama siyo una uhusiano gani na wafu [emoji117] [emoji65] [emoji6]



3. Loading
 
itabidi tukuue jamaa langu afu ukazaliwe upya uwe lulu
 
Uliza chochote kuhusu kufa, kuzaliwa, na au kupotea.

Je, wajua mtu anaweza kufa na kuzaliwa tena?

Je, wajua kuwa watu wakifa hawaendi popote sio mbiguni wala motoni?

Je, wajua hakuna mungu?

Je, wajua hakuna hukumu baada ya kifo?

Uliza maswali yeyote kuhusu uzima, kuishi na maisha baada ya kifo.

Na utajibiwa hapa.
3. Hapa nitakuuliza kama ulikuwa na maana ya Mungu au MUNGU otherwise no comment no question
 
Nakuunga kwa Maswali Yako Yote,ila Ebu Rudi Ujibu Hapa Maswali Unayoulizwa na Wadau!!
 
1:4
maswali yangu...
1: tokea kuwepo kwa dunia we umekufa na kuzaliwa upya mara ngapi?
2:katika huko kuzaliwa upya jinsia yako, akili, physical appearance ziko sawa?
3:ukishajibu swali la kwanza ningependa uniambie kama ilikua uzaliwe sehemu nyingine halafu mimba yako ikatolewa ni nini kilitokea/kitatokea....
 
Uliza chochote kuhusu kufa, kuzaliwa, na au kupotea.

Je, wajua mtu anaweza kufa na kuzaliwa tena?

Je, wajua kuwa watu wakifa hawaendi popote sio mbiguni wala motoni?

Je, wajua hakuna mungu?

Je, wajua hakuna hukumu baada ya kifo?

Uliza maswali yeyote kuhusu uzima, kuishi na maisha baada ya kifo.

Na utajibiwa hapa.
Hivi akili iko sehemu gani ya ubongo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom